Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujua process anieleweshe ikiwamo Licence fees na mengineyo.Na pia kama kuna yeyote mwenye sehemu ya kupangisha(inayofaa kwa shughuli hiyo) kati ya Kimara au Tegeta...
Ni Amplifire za kurushia picha kwenye
cable. Nilishawahi andika hapa kuna
baadhi wakanishauli nitumie faiba
kuwaomba ufafanuzi zaidi kuhusu hiyo
faiba wakaingia mitini. Njia
nnayoielewa...
kiwanja kizuri mita 40 kwa 42
kipo visiga madafu-kama unatoka dar telemka madafu, upande huohuo.
kipo umbali wa km 1 na 1/4, ukishavuka nguzo kuu za umeme; grid ya taifa
umeme upo karibu na maji...
NI SITE INAYOENDESHWA NA MNTAZANIA NA PIA CREDIT ZA LGTOOL ZINAPATIKANA KWA MAELEZO ZAIDI TUWASILIANE KWA gsmsolution2009@hotmail.com AU PIGA SIMU NAMBA 0774439364
Maeneo kuanzia shekilango hadi kimara mwisho. Isizidi 3kms kutoka main road. iwe na parking walau ya gari moja. Ikiwa ya kujitegemea itafaa zaidi lakini si lazima sana.
Hii ni serious sana...
The Senior Jr. General Supplies ni kampuni ambayo imejikita katika uingiaji na uuzaji wa magari yaliyotumika na mapya (used and new cars) toka sehemu mbali mbali duniani hususani toka nchini Japan...
Specifications: type ni acer,ram 2gb,hard disc 320gb,imenunuliwa mpya na kutumika miezi miwili na nusu tu,bei yake ni laki nne na nusu tu!,anayehtaj anitext kwa 0753584428,au PM,mazungumzo yapo!
Nyumba ya Vyumba 3 kimoja Masterbedroom,sebule pana,Dining , choo cha ndani na bafu na choo cha nje na bafu lake,uwanja mkubwa wa kupaki magari zaidi ya ishirini, fensi nzuri na Fremu za maduka 8...
In vyumba vya kulala vinne.
Chini, kuna sebure, jiko, store na chumba kimoja self contained kwa ajili ya wageni. Juu kuna vyumba vitatu vya kulala viwili vya kawaida na kimoja kikiwa ni master...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.