JF habari
Our office is looking for a software to manage our payroll, e.g a payroll system.
If there is anyone with a good system, tested and proven to be effective and efficient, please give...
Tunauza asali mbichi bei poa kwa jumla na rejareja. Tupo Morogoro Mjini na Iringa mjini. Pia tunahudumia Dar es salaam. Agiza sasa asali kiasi utakacho pata mawasiliano yetu kwa kubonyeza link...
Hi Guys,
Nina Tablet Acer Iconia A200 ina baadhi ya sifa hizi:
Wifi Only,
DisplayTypeCapacitive touchscreen, 10.1 inches
MemoryCard slotmicroSD, up to 32 GB
Internal8/16 GB storage, 1 GB DDR2...
Kiwanja kinauzwa kiko Mwanagati,
Kimepimwa katika viwanja vya mradi vya Serikali.
Kiwanja kina ukubwa wa 624-Sqm.
Bei ni Tshs 16Mil (TZS 16,000,000/=) na maongezi yapo.
Mimi ni Mwenye Kiwanja...
kiwanja kinauzwa ukubwa wa mita 35 kwa 20 na kipo barabarani kabisa kama kinavyoonekana kwenye picha. na pia kipo umbali wa km 1 kutoka stand ya tabata kimanga. bei ni millioni 25. kwa mawasiliano...
Natafuta flat ya kupanga maeneo ya Upanga ya binafsi au NHC. Iwe na vyumba 2-3. Ningependelea choo na bafu viwe separate na isiwe ground floor. Kodi isizidi 800,000/- kwa mwezi.
Chumba kimoja cha kuishi kina maji na umeme fence jirani na barabarani... kinapangishwa 60,000/= kodi miezi 6 angalizo SIO KWA FAMILIA KUBWA LAZIMA AWE SINGLE yaani hajaoa au hajaolewz mwenye...
Jamani wanajamvi nisaidieni kwa hili naitaji kupata wanunuzi wa madini aina ya kasheshe maana ninayo mengi na sijui wapi nitapata soko plz.........plz...... mazeee
kama vipi nicheki kwa phone...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.