Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wanajamvi wote. Nampango wa kuanzisha shamba kubwa kwa kilimo cha mazao ya chakula na biashara. Mimi naishi Tanga mjini, maeneo ambayo natamani kufanyia kilimo hicho ni katika wilaya za...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji korosho kwa wingi kwa bei ya jumla. Nitapata wapi kwa hapa Dar es salaam? Huwa naziona madukani na kwa machinga lakini sifahamu wanazijumua wapi. Naomba msaada wa taarifa kwa anayefahamu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wenye Makampuni ya Kuprint vitabu nitafuteni kupitia e-mail: mathew_p_2002@yahoo.com. Nina vitabu vingi vya kuprint lakini natafute mtu mwenye bei nzuri na quality, atakayetuma competitive...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eneo linauzwa kigamboni ufukweni 2.5 bils. Ni r hectors limepimwa na lina hati kwa mawasiliano 0714155854
0 Reactions
2 Replies
862 Views
nokia e71 inauzwa sh100000 bado mpya wahi ofa hii kwa mawasiliano zaidi call me 0764339400 mie niko mwanza town kama upo tayari usini pm coz siingiagi humu mara nyingi
0 Reactions
0 Replies
679 Views
internal memory-32gb.. colour- black camera-5mp..... We can negotiate...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta milango 5 ya mbao, mkongo (frame na top). kati ya hiyo 4 ni singo na 1 ni double. Tafadhali nipe Bei kama unahusika.....nitaenda kwa atayenipa bei nzuri Kwa nitakayefanya nae kazi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
android system Ina 3g,application program installed like instagram,whatsapp,fb,twiter,keek,tumbler,jamii forum,funny jokes and so much more,inauzwa pamoj na memory carf...laki mbili tu kazi kwenu...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Wadai hii ni mara yangu ya kwanza kuongea jamvini. Nina wazo la kuanzisha kilimo cha miti ya asili kwasababu miti ya asili inakatwa kila itwaapo leo na hakuna juhudi za kupanda mingine ku replace...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shamba la ukubwa wa Ekari saba(7) linauza kila Ekari kwa Shilingi Milioni tatu (3,000,000/=) ni heka zilizotimia kivipimo. Linapatika Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani barabara ya Morogoro Road...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Anae hitaji simu.. anaweza fanya mawasiliano na mimi kupitia PM
0 Reactions
4 Replies
859 Views
Natafuta hiyo laptop Hp Pavillion Dv4 mwenye nayo anayeuza please
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Samsung Galaxy S3 mpya kabisaaaaaa inauzwa...bei laki 8. Only serious buyer ni PM tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Naomba kuuliza ni wapi naweza pata sketi na blauzi nzuri aina mbalimbali za kiofisi. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
2001 Toyota spacio new model 76,000 kms gold colour imported from japan and used for six month in Tanzania 10m only contact 0773 455070
1 Reactions
3 Replies
1K Views
toyota mark2 engine 1gfe 1980cc silver colour just imported from japan all duties and taxes paid price 9m including registration contact 0773 455070
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kushiri click kwenye bidhaa usika kisha login uweke dau lako NEW LG Optimus 3D P920 - 8GB - Black (Unlocked) Smartphone 2h 40m...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Natafuta iPhone 5 ya kununua, napendelea iwe nyeusi, 16GB ama 32GB. aliye nayo aniPM nijue bei yake
-1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kipo njia ya kwenda Marian School kima hati. Kinauzwa milioni 8. Hakuna mtu wa kati. Karibu.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nakihitaji,mtaa wowote,ilimradi kiwe na hati(Title deed)kwenye jina la muuzaji.Malipo ni kupitia kwa mwanasheria na bank.TZS 80M(Million themanini pesa ya kitanzania) ndio pesa ya jumla sina pesa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom