kuna frem tatu zinauzwa zipo tegeta kibaoni, frem izo ni kubwa zipo sehemu yenye mzunguko wa biashara bei kwa kila fremu ni ml 8 kwa maelezo zaidi waweza kunipata kwa simu namba 0714 182 640
Wana JF
Naomba msaada kwa yeyote mwenye soft copy ya financial regulations zilizotolewa kuelezea The Finance Public Act 2001, anisaidie.
Natanguliza shukurani
Ewe mteja,Htc legend mpyaaaaa inauzwa,bei ni 220,000/=
kwa maelezo zaidi na specifications igoogle uone mzikii,kwa walio serious na biashara tuwasiliane 0719579733,0713838799,0769579733.
Meseji...
Salaam, wakuu.
Ninahitaji fundi wa printer (copier machine), aina ya konica minolta bizhub,na xerox work force
nipo dar es salaam, nicheki kwa 0762 490 080.
Asanteni.
Habarini ndugu zanguni, Nina laptop aina ya acer aspire 5532 ambayo niliinunua mwaka jana, lakini haijatumika sana.. yaani namaanisha bado ipo freshi sana, ina 64 processor TF-20(1.6GHZ). ATI...
Mashamba yanauzwa Maeneo ya Mkoa wa pwani(Bigwa wilaya ya Mkuranga) unakatiwa kulingana na pesa yako au mahitaji yako mashamba yapo katika maeneo mazuri na ardhi yenye rutuba inayo stawi mazao...
anasema bei zake ni milioni moja kwa kila moja,ni mpya
kama unahitaji we PM
Specification
1.CPU platform: Intel Core / Core i5
2.Screen size: 14-inch
3.Memory capacity: 1G
4.Hard disk capacity...
Habari za asubuhi wana jf nina mdogo wangu wa kiume by profession yeye ni Procurement and supply Management na qualification aliyo nayo ni Certified Procurement and Supplies Professional...
Heshima kwenu brothers and sisters
Kama kuna mdau aliye interested na hii kitu tutafutane pm,,
Nina appartment maeneo ya ubungo Xternal karibu na TFDA na Mkapa EPZA natafuta mtu wa...
KWA WALE WANAOHITAJI MAENEO YA UWEKEZAJI WA HOTELI HUSASANI ZA KITALI NA NYINGINEZO . YAKOMAENEO YA BEACH KWA AJILI YA UJENZI WA HOTEL YANAUZWA. KILWA MASOKO NI MOJA YA MIJI YA KUSINI AMBAYO KWA...
Wanajamii napenda kuwapa hii taarifa kwa mtu ambaye atapendezwa nayo, nauuza kamera aina ya SONY cyber shot ni original kutoka marekani nzuri na mpya, na zinauzwa kwa bei nzuri kwa yeyote atakaye...
VIWANJA SIZE MITA 32*25 BEI MILION 16.
viko 2km kutoka morogoro road, kandokando mwa barabara
itokayo kimara Temboni kwenda Tangibovu mbezi beach.
viwanja viko tambarare nzuri, umeme na maji ya...
Wadau nauza toyota harrier 2.4 litres ina odometer ya km 85000 bei ni maelewano. Ina alloy rims na low profile tyres. Iko kwenye excellent condition. If you are interested nitafute kupitia...
Wana JF msaada pls natokea kanda ya ziwa nimekuja Dar kikazi zaidi
Natafuta nyumba ya kupanga Maeneo ya Makongo na Survey nitafutrahi sana
Budget : Tzs 300,000-400,000 P.M
Muonekano: Iwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.