Kama kichwa cha habari kilivyoainisha inatakiwa nyumba ya kisasa yenye hati ..nasisitiza tena 'Hati'... iliyo sehemu inayofikika bila usumbufu katika majira yote ya mwaka na pia huduma muhimu...
Kwa mahitaji yako ya vifaa vya kielektroniki halisi vya mtumba toka uk kama computers (desktops na laptops) simu za mkononi, printers, tvs,wasiliana nasi.
Pia kwa mahitaji ya software ya aina...
Ni Cresta GX100,vvti,pearl white,1999 model. ipo kwenye good condition sana. iko zanzibar ila kama mnunuzi atapatikana dar nitamletea kwa gharama zangu. contact na mimi through 0713 806 766 kwa...
Photocopy mashine canon NP1215, inauzwa laki nne tu ( 400,000) , mashine ipo dar es salaam . inahitaji service kidogo tu . kwa anayehitaji anitafute 0714890018
Iliingia tar 02/08/2012 inausajili wa CBZ SH M 6.7 ina km 124,000 compreensive bima na road lisence vinaisha mwezi wa 8,. Nilikuwa natembelea mm tu tafadhali haijachakachuliwa km hata ukitaka doc...
Habari zenu ndugu! kuna Clinic mpya ya magonjwa ya moyo imefunguliwa pale Ocean road, sea view, karibu na Protea Hotel (court yard), si mbali kutoka Serenda bridge. inaitwa Doctor's Plaza heart...
The Mansion is located at Jangwani Beach ( next to Mbezi Beach) approx. 200 meters off the Whit Sands Hotel Road. Upstairs, there is a main bedroom, 2 other bedrooms, family/TV room and study...
Habari wanajamii,
Kama kuna mtu yoyote anahitaji ushauri kuhusu processing ya madini ya Dhahabu na Shaba tu,anaweza kuwasiliana na mimi mana kuna kampuni ya vijana yenye uzoefu na mambo ya madini...
Hi guys!
Wanajamii ninauza hizi pair mbili za viatu laki na nusu kila pair maelewano kidogo yapo. Viatu viko dar kwa any serious buyer tafadhani ni PM asap
Viatu vya brown ni size 9U.S na black...
Kwa wale wapenda soka, hasa mechi za Ligi Kuu ya Uingereza Live tuwasiliane. HD AD Sports package ndio kimbilio la wajanja...Ukinunua King'amuzi cha AD Sports unapata channel zenye kiwango cha...
Nauza Samsung i897
Bei 300000 maelewano yapo just pm me!!
Phone specifications 512mb of Ram
1ghz CPU
PowerVr 540 GPU
http://m.gsmarena.com/samsung_i897_captivate-3408.php for more information...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.