used for 4 months ipo katika hali nzuri sana,haina mkwaruzo wowote,pia haina shida yoyote
color:black
camera:8MP
memory:internal 8gb,microsd upto 32gb,ram 256mb
processor:680mhz
kitu touch...
wadau kwa mwenye injini ya bajaj platina cc 125 au hata mwenye kufaham duka zinapouzwa naomba anisaidie kunielekeza nina shida na hiyo kitu kwa kununua.
Toyota Raum EXZ100, Station Wagon, Silver, maufactured in 2007, registered in Tz in March 2009, T...AZF, cc 1490, petrol, automatic, a/c, milango 5, inatembea. inauzwa, bei ni TShs. 8,000,000/=.
samsung s3 ipo ktk hali nzuri nimetoka nayo scotland nilitumia for 2 month nina box lake.charger.headset.user manual etc..nauza kwa laki 6na nusu .ni pm kwa maelezo zaidi naishi makongo juu
Simu ni HTC One S imetoka April, 2012, acha kutumia simu za 2009.
Some specs;
Processor; DUAL Core 1.5 Ghz
RAM; 1gb
Internal; 16gb
Camera; 8MP
OS; ANDROID 4.0 (ICE CREAM SANDWITCH)...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni mkazi wa dar...Nilikua natafuta wauzaji wa jumla wa mifuko (plastic bags) ya aina zote. Nilikua nataka kununua mzigo mkubwa kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...
Afisa utamaduni vijana na michezo wa Wilayani Mbulu Bi Grace Steven Quitine amewataka vijana Wilayani hapa kutilia mkazo suala la michezo, ikiwa ni pamoja na kuunda klabu za kudumu zitakazo...
Mira lodge &bar ni pub mpya yenye manzari mazuri parking ya kutosha and all rooms are self containers with dstv inn and we offer for low price only 10000 thousands per day all type of food and...
Habari wanajamii,
Kama kuna mtu yoyote anahitaji ushauri kuhusu processing ya madini ya Dhahabu na Shaba tu,anaweza kuwasiliana na mimi mana kuna kampuni ya vijana yenye uzoefu na mambo ya madini...
watu wote wanaitaji magari yenye ubora kwa bei nafuu tutembelee kwenye website yetu kupitia www.jordanexpress.co.tz pia unaweza ku-order ya gari lako kwa kutanguliaza hella 20% ya bei ya gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.