Nice and very little used HITACHI PROJECTORS from USA available,
models; cpx-260 , cpx-256 , cpx-251
Project large image in the screen up to 300 inches diagonal.
They can be suitable for...
Nauza townace na suzuki cultus kwa pamoja bei Tshs 14 million.
Townace diesel model, automatic transmission, 107000km, 4WD, new yana tyre.
Suzuki cultus, manual transmission, petrol, 133000km...
Habari wakuu, natafuta lorry 3 za kununua ziwe volvo truck FM au mercedes benz actros/atiga double diff (6*4) mwaka kwanzia 2000 kuendelea lakini sharti ziwe left hand sababu nataka kuzipeleka...
nyumba inauzwa zanzibar,eneo la kisauni ukubwa wa kiwanja ni 23x40m . ina nafasi ya kujenga nyumba nyengine kubwa na kupaki magari zaidi ya kumi iko karibu na ofisi za ccm/cuf na msikiti wa...
naishi dar jaman wana JF natafuta msichana wa kunisaidia kazi za nyumban maana nipo busy sana na hakuna wa kubaki nyumban sona mtoto mchanga kabisa...plz nahitaji bint mtulivu na msikivu,kutoka...
Habari, natafuta kazi au tender za graphics designing toka sehemu yoyote Tanzania na jirani. Nina uzoefua wa miaka 9 katika kazi na nahtaji kuongeza wigo wa soko langu! Nimejiajiri na nina kampuni...
Lina ukubwa wa hekari 8 kila hekari moja Tshs milioni mbili tu, lipo barabara ya Bagamoyo km 5 kutoka mji wa Mlandizi, shamba lina minazi na mikorosho, wasiliana nami kwa 0717000990/ 0764434673.
QQ HIGH QUALITY ALUMINUM PROFILE AMERICAN STANDARD
Dealers in: Aluminium Glass, tools & Accessories
Location: Kariakoo Nyamwenzi & kiungani Street - Gerezani Area
Tel: 0656 324 811
Bei zetu...
Nahitaji laptop salio langu ni laki 3 ie(300,000). Specifications ni Ram 1, hard disk 80 or more, processor more than 1.6GHZ, Dvd writter.Mwenye nayo ani-PM.
Simu ni nzuri kimuonekano. inatumia windows 6.1, ina chaja yake, ina 4GB internal storage. awali ilikuwa inatumika na mzungu. bei yake laki 160(maelewano yapo). kwa kujua features zake angalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.