Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza Rav 4 Short Chasis ( 3 doors) ya mwaka 1998 kwa Tshs 9,000,000/=
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wapi nitapata mkopo wa haraka wa tsh 1m dhamana nitaweka kadi ya gari nitarejesha baada ya 3 weeks na riba ya laki 2.
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Wakuu nauza Corrola X ya mwaka 2004 kwa bei ya Tshs 13,000,000/= Ina Kilometa 53,000 Engine CC 1500 Nipigie kwa namba 0713-757491 au 0767-757491
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mtoto kapelekwa hospital na baba yake, docta akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka nje kuongea na simu, mtoto akamuinamia docta na kumuita kwa sauti ya chini docta.!.. docta!...kwenye dozi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari nahitaji toyota spacio iwe na specification kama manufactur date isizidi 2004, Transmission automatic Milleage isizd 100000 Iwe in good condition Engine 1500cc Ukiwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa hatua za miguu/mita 32 kwa 28 kinauzwa sh. Mil. 8 Chanika mwisho karibu na kituo cha mwisho cha daladala, kuna umeme na pamejengwa upande wa nyumba vyumba 3. Tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
habari ya Pasaka wanajamvi? Kichwa cha habari chajieleza. Natafuta Mark X au Verosa ambayo itakuwa imetumika kidogo ,bei maelewano . unaweza ukasema hapahapa au ukani PM Natanguliza shukrani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Get ur mobile phones at cheap and affordable prices kama ifuatavyo: BlackBerry Torch 2 - 9810 @ Tsh 400,000 BlackBerry 9900 @ Tshs 450,000 Samsung S3 @ Tshs 700,000 iPhone 5 mpyaaa kabisa @...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bado iko safi, RAM 1GB. Other specs kama kawaida. Bei 280,000 Tsh.
0 Reactions
3 Replies
754 Views
Jamani Simu Aina Ya Ideos U8150 Mpya Dukani Sh ngapi?
0 Reactions
1 Replies
803 Views
Wana JF, napangisha nyumba maeneo ya Mtoni Kijichi itakuwa wazi kuanzia 1/5/2013, kama unaelekea Neruka Sec. Vyumba 2, sebule, valanda,bafu, jiko, choo na nafasi kubwa kwa nje - parking. Kodi ni...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Pana nyumba. Eneo lina ukubwa wa mita 35 x 25. Ni karibu na EPZ Ubungo, Viwanda vya Ubungo, Chuo Kikuu Mlimani na mfumo wa Usafiri kuelekea katikati ya jiji vimekaa vizuri. Pana hati ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, napangisha nyumba maeneo ya Mtoni Kijichi itakuwa wazi kuanzia 1/5/2013, kama unaelekea Neruka Sec. Vyumba 2, sebule, valanda,bafu, jiko, choo na nafasi kubwa kwa nje - parking. Kodi ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza Nyumba ya vyumba vinne iliyopo Kigogo Kati Wilaya ya Kindondoni-Dar es salaam kwa Tshs 17,000,000/=
0 Reactions
18 Replies
2K Views
frem ya biashara inatafuta hata kama sio kubwa yaani kama nyembamba sana isio mbaya kwa ajiri ya biashara ya tigo pesa kama unayo usisite kuwasiliana nami wappolinary@yahoo.com au ni pm hapa jf...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Natafuta chumba chenye choo ndani mitaa ya Kinondoni au Sinza upande wa Mlimani city. Mwenye info anijuze.
0 Reactions
1 Replies
937 Views
Nyumba inatafutwa Nyegezi, Mwanza au maeneo ya karibu. Vyumba angalau viwili (master) yenye fensi (au flat) maeneo yenye usalama. Mwenye nayo ni PM namba zako.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zanguni naombeni kujua mahali walipo hawa maxmalipo kwa hapa mwanza tafadhari. Mungu awabariki.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Surveyed Plot No.42 Block C Wazo Kinondoni Municipality Dar es salaam City, 663SQM is for sale. Price is Tsh.28mil.contact 0715600280
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Corolla limited inauzwa bei ni 4.5m nipo dsm.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom