Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Tunatengeneza mabango ya kisasa aina zote,tupo Dar es salaam maeneo ya Tegeta.Ingia http://disolni.blogspot.com/ kuangalia baadhi ya kazi tulizowahi kuzifanya & kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza simu HTC wildfire A3333 Addroid system. Full touch screen and HTC SENSE. Bei ni 200,000. Maongezi yapo! Anayehitaji Tuwasiliane kwa namba hizi; 0787577755, 0767577755 na 0717577755. Au ani PM.
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Espitech Engineering Co ni kampuni iliyosajiliwa na kutambulika CRB ambao ni wataalamu wa kusupply na kuinstall vifaa na systems bora za CCTV kwa wenye Maduka, Supermarkets, Shelli, Garage...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanja hiki kipo Chanika wilaya ya Ilala Dsm, barabara ya Pungu unafika gongo la mboto kisha unapanda gari za chanika . eneo la kiwan ja ni tambalale na kipo umbali wa kilometa 2 toka barabara...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii,kunakiwanja kipo kimara mwisho kinauzwa million 75,kipo jirani na morogoro road ni umbali wa dakika tano(5) tu. kinaukubwa wa nusu heka yani 70 kwa 35 pia eneo hilo lina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkoa wa Pwani, wilaya ya kibahainakuwa kwa kasi ya ajabu, maendeleo yanaongezeka kiwanja kinauzwa kinafaa kwa matumizi yafuatayo; Kujenga Petrol Station, Kujenga Yard ya Magari makubwa, Kujenga...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imetumika kidogo Ina trademark ya Google Ina mfumo wa MPGE4 wa kuplay video Ina camera isiyo na frash hivyo unaweza kumchukua mtu bila yeye kujitambua Ina application za kutosha Ni android...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JE UNATAFUTA NYUMBA/VYUMBA VYA KUPANGA SOWETO-MOSHI??? KARIBU KUNA VYUMBA YA KUPANGA NZURI IPO SOWETO, MTAA WA HURUMA KARIBU KABISA NA ST JOSEPH HOSPITAL. NYUMBA INA KILA KITU MAJI, GETI, NA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wana jamii, naishi magomeni kanisani natafuta mwalimu wa kunifundisha karate au sehemu mafunzo yanapotolewa, iwe mitaa ya magomeni au kinondoni. Ahsante
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau natafuta hiyo Movie series hapo juu vyovyote ikiwa kwenye dvd or memory stick please
0 Reactions
14 Replies
3K Views
IPo mwembechai karibu na DDC MAGOMENI KONDOA Ina vyumba vitatu kodi kwa mwezi ni laki mbili na nusu na italipwa kwa miezi Sita au mwaka.ukiihitaji ni cheki kwa no.0655 44 44 40
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna tangazo kwa umma kwenye daily news, the guardian la 22 Feb kutoka TCRA, kuhusu maombi ya mwanaharakati Marie Shaba (0784-265315) yakuanzisha kituo cha Radio Kaya FM. Unakaribishwa kutoa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
hellow kuna ndugu yangu anauza viwanja with the following specifications: Plot A Area: Ubungo Kibangu. Distance : five minutes drive from river side bar Size : 29*30 and price 14million...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni pick up 504 pegeout ya mwaka 1992 in a very good condition,bei ni 3.3m/=
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jeep inauzwa bado ipo katika hali nzuri,ndio imeingia kutoka japan. Imelipiwa kila kitu hadi february 2013. Nyeusi,sports rim. Bei maelewano. call 0715838107 now.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mini fundi wakupaua mitindo yote ya kisasa, naenda sehem yoyote kwa atakae nihitaji hatakama ni nje ya nchi nikihitajika naenda kikubwa fedha. mawasiliano 0765 156 828 na 0654 234 344 kalibuni sana
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nauza mafuta halisi ya yatokanayo na mbengu ya ubuyu kwa lita moja ni sh.35000 tu kwa mawasiliano piga namba zifatazo 0714592938, 0784500001, 0758000388
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mkoa wa Pwani, wilaya ya kibaha inakuwa kwa kasi ya ajabu, maendeleo yanaongezeka kiwanja kinauzwa kinafaa kwa matumizi yafuatayo; Kujenga Petrol Station, Kujenga Yard ya Magari makubwa...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Shamba ekari 30 linauzwa,eneo ni bunju a 6km kutoka old bagamoyo road,bei ni 160ml ila maongezi yapo.eneo halijapimwa ila halina tatizo lolote.phone 0716797416.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Happy holidays wapendwa wana jamii forum. Natafuta nyumba ya kupanga Jijini Mwanza. Sifa:- 1. Iwe na vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko. 2. Iwe maeneo ya barabara ya Airport yaani...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom