Wakuu kwa mwenye mahitaji ya maeneo karibu na ufukwe wa bahari ya Hindi eneo la Bagamoyo just ni pm.Maeneo yote yamepimwa na idara ya ardhi na yana hati miliki.kabla ya malipo utajiridhisha kwanza...
Model number SHW-M209K
Firm ware version 2.3.6
Base band version M 290K.T.L 23.1859- KT
Kernel version 2.6.35.7 perf - cl 835898
Wi-fi connection 3G na memory kadi ya 4gb
Available space...
Wakuu, nahitaji kampuni ya clearing agent, waaminifu, wazoefu, sitaki bei za kubambikiwa. Pia awe na uwezo wa bargain na TRA (mtu anayehitaji huduma ana machungu na hela)
Weka mawasiliano na...
Wana Jamii wenzangu!
Nyumba ya vyumba viwili, sebule, dinning jiko bafu na choo itapatikana kuanzia May 1 kwa mwana Jamii jiweke tayari if ur in need! Kodi ni Tshs. 170,000 na ni kwa miezi sita...
Hallo. Jf ni kiboko ya Hitaji lako. Kwani. Nmewahi kununua simu na vikolombwezo kibao humu kwa bei nzuri tu. Hili nalo naaamini nitatatuliwa.
Nahitaji LED Samsung 32" Mpya kabisa kwenye Box Lake...
Mkoa wa Pwani, wilaya ya kibaha inakuwa kwa kasi ya ajabu, maendeleo yanaongezeka kiwanja kinauzwa kinafaa kwa matumizi yafuatayo; Kujenga Petrol Station, Kujenga Yard ya Magari makubwa, Kujenga...
husika na kichwa cha habari mimi nipo Dar es salaam ninahitaji msaada wa mawazo mimi nina 250k nahitaji dish kubwa ambalo nitaweza kuona local channel pamoja na channel wa nje hususa ni za europe...
Wakuu salama ? Tunatafuta suzuki Carry iliyotumika sio zaidi ya mwaka mmoja ya kununua, iwe na hali nzuri na inafanya kazi, isiwe na kasoro yeyote, kwa yeyote mwenye taarifa au mwenye nayo, ani PM.
Nahitaji CHEREHANI ya kusukuma kwa miguu (manual), nzima, bora, mpya au iliyotumika. Shilingi ngapi za Kitanzania? Bei inazungumzika?
Inamhusu anayepatikana 'Muheza' au'Tanga mjini'.
Tuwasiliane...
Wana jf nihataji kununua rav4 milango mitatu ya mwaka 1996-1999 (auto) ambayo ipo ktk khali nzuri. Bei isizidi 9m. Mwenye kuweza fanya hiyo biashara ani pm.
Natanguliza shukurani!
Toyota Brevis, 2002 year, 65,700KM with LCD touch screen, Dark blue color, one owner, non smoker, in very good condition, For sale at 14.5M.
Kwa mawasiliano 0713 332019.au email...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.