Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
nahitaji kujua price engine type km mwaka gani condition in general ikoje?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nokia N81 almost new as displayed on the picture price 90000tsh only
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa 20x25 kinauzwa 6Mil. Kibamba CCM,kina msingi na umbali kutoka Barabara ya Morogoro ni 2.5Km,njia ya gari inafika mpaka kwenye kiwanja kwa anayehitaji ani-PM,ni cha kwangu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu polen na majukum nilikua nahitaj cherger ya blackberry kutoka mikonon mwa mtu kwa sababu ya dukan cwez kununua,hivyo nahita ya mkonon kwa bei rahis! Ahsanten xana!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Greetings! Nauza set nzima ya star times decoder, aerial na cable yake ya 20m. Price 80,000. Haina matatizo yeyote. Nipo Dar es salaam. Asante.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Brandnew samsung galaxy s3 ipo kwa box kwa sh.650,000 but we can negotiate...check me thru 0712-065669.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nahitaji tv ya samsung flat screen inc 32 iwe ya kisasa mpya au used ila iwe na hali nzuri bajeti yangu ni Tsh laki5. Nipo dar. Namba yangu ni 0713872828
0 Reactions
18 Replies
3K Views
ANNOUNCEMENTS: 1 Bed room Service Apartments at Nelly’s Inn Mbezi Beach: Nelly’s Inn is proud to offer a few Apartments now available for just a fraction of the hotel rates.You get to live in...
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Ndugu wanajamii nahitaji canter ton2.4 na kuendelea,kwa yeyote anaweza kukodisha tuwasiliane 0766205803
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani kama unayo jitokeze,inahitajika haraka sana!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
NINATIBU MAGONJWA YA TABIA Habari wanajamii Napenda kutangaza huduma yangu kwa wale wenye matatizo yafuatayo: 1. Watu wazima waliopalalaizi, nawafanyia mazoezi (masaji) na kupewa dawa...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
ndg wanajamii msaada juu ya wapi naweza pata strong model 4930, mwenye nayo anipm
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Ng'ombe wa maziwa wanauzwa bei gani mmoja
0 Reactions
1 Replies
853 Views
Nataka iPad ya kununua au tablet za samsung
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye ps 2,na anahitaji simu yenye kila ki2 tuzungumze nahitaji ps 2.Namba yangu ni 0718097972 nipo dar
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Nyumba iko kinyerezi(ulongoni) ina viumba 4 kimoja master ina dinning,sitting room,tiles,gypum na msingi wa ukuta(fece) na msingi wa nyumba ni mrefu 0714 119988 jemedary {wahi mapema}
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa wa ekari 200 lililopo bagamoyo kijiji cha kidomole likiwa limepakana na barabara ya kwenda msata linauzwa.bei ya kila ekari ni 450,000,unaweza kununua ekari zozote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayeuza simu(samsung galaxy s3) hyo hapo juu(second hand), anitumie PM kwa maelewano zaidi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta cd za game ya computer especially PES 2013
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu wajasiriamali? kuku wa miezi nane tayari wanataga na wana afya nzuri wanapatikana kwa bei nzuir.Kwa anayehitaji wasiliana 0713 48 29 01 Dar Es Salaam .Idadi ya kuku wanaouzwa ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom