Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Natafuta samsung galaxy mini au inayoendana nayo kwa 150,000
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Welcome to Kerege! A new neighborhood with open space, featuring the finest building sites in the area. Price of plot will include transfer costs to your name. Plot No.115-1283 Square Meters...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini wana JF, Natafuta chumba cha kupanga morogoro mjini, hasa maeneo ya misufini, k/ndege,mawezzni,bigwa itakuwa poa zaidi, kihonda isiwe kupita maghorofani, kiwe na umeme na maji, kikiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata Email kwa jina lako au kampuni yako mfano "mimi@jinalaukoo.com" au "juma@jinalakampuni.com" kwa TZS 80,000/= tu. Unaweza kuwapa ndugu na jamaa zako email yenye jina lako la ukoo na ukapata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bei milioni 18.5 serious buyer ni PM ntakuelekeza iko katika hali nzuri haijachuja
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau habari zenu matatizo ya umeme yamenifika shingoni. naomba msaada wa mawazo kabla sijanunua inverter ningependa kujua yafuatayo 1. ni aina gani ya inveter ni imara na ina ufanisi mkubwa...
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Heshima mbele wakubwa. Nilikuwa na kakazi kadogo ka ujenzi hivyo ilinibidi kununua baadhi ya vitu ikiwemo mbao na milunda baada ya kumaliza kazi nimegundua kuwa sitakuwa na nafasi ya kuvitumia...
1 Reactions
6 Replies
39K Views
Nahitaji toyota brevis au verosa tufanye barter trade,nina gari mbili nitazitoa (honda fit 2003 na mazda demio 2003)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nokia lumia black 601 nauza kwa laki tatu na sabini tuuu. Call me 0713935738
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mkaka wa miaka 34, naishi nje ya nchi ila narudi Tanzania baada ya muda mfupi ujao. Natafuta chumba kimoja kwa muda wa siku 12 hadi 13 nitakapokuwa Tanzania. Kuna baadhi ya watu wenye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Fundi mahiri wa kusuka genereta 15kva na kuimechIsha na avr yake anahitajika. Tuwasiliane 0786 021840
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Htc window phone 7.5 iko ktk hali nzuri...ina uwezo mkubwa sana...unaweza check specification ktk net....bei ni laki 4 maelewano yapo...contact zangu ni 0764731318
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Wadau hebu nijuze, unaweza kupata access ya mawasiliano ya simu ie msg za mtu kwa kipindi fulani kwenye makampuni ya simu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza galaxy s3 brand new kwa lak 7.5. Haijatumika iko boxed. Kwa anayehitaj nchek via whatsapp kuptia 0717354243
0 Reactions
0 Replies
562 Views
Fundi alluminium wa madilisha,milango,makabati,partions,na kudesign chochote mob:0713353350 ofc: KALIKOO
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau ni wapi tapata simu za kichina soft touch na blackberry kwa bei ya jumla kwa hapa dar, ambae anajua tuwasliane bei iwe kuanzia elfu 35, tachukua za milion 1. Mawasiliano ni 0766988326 au...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
imetumika kidogo,bei sh 320,000/= namba 0713656256
0 Reactions
1 Replies
830 Views
WanaJF, Nahitaji nyumba ya kununua Mbeya mjini kwa mtu yeyote anayefahamu nyumba inayouzwa Mbeya tuwasiliane through PM.Iwe nyumba walau yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule n.k
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau, Nauza kiwanja changu kilichopo Kigamboni, eneo la Kibada chenye details zifuatazo. Ukubwa ; Sqm 846 Umbali from main road; 200m Umbali from ferry; 14km Status; Kimepimwa (Viwanja vya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom