Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Apartment inauzwa mikocheni ipo nyuma ya supermarket ya Tsn. Kwa mawasiliano piga 0717 11 12 12/0766 11 12 12
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Tunauza Concrete Mixer good condition honda engine,ina stand yake, bei maelewano wasiliana nasi 0713058290/0712928272
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Wakuu mambo vipi? naitaji kampuni ambayo inaweza kununua Diamonds nina Mzigo wa kutosha.. kama kuna mtu anafahamu kampuni yoyote ambayo inafanya hiyo biashara please anijulishe kwa PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
panasonic lumix SLR 10 MEGAPIXEL, NIKON D40 SLR 6.1 MEGAPIXEL , NIKON D50 10 SLR 10MEGAPIXEL ZOTE ZIPO KATIKA HALI NZURI PIGA SIMU 0712652110 DAR
0 Reactions
1 Replies
918 Views
Bus aina ya Yu Tong used kiasi linahitajika kwa yeyote mwenye taarifa za muuzaji. Hali ya gari iwe inaridhisha Iwe na uwezo wa kwenda route za mbali kama vile kahama, mwanza, arusha etc Isiwe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta taa za solar za kusomea. Nitapata wapi hapa Dar? Naomba location na contacts za wauzaji kama inawezekana. Nahitaji nizipate kesho. Maana hawa watoto wetu wanafeli vibaya mno, wengine...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar jf. Ipo mashine ya kuangua vifaranga vya kuku -incubator. Ni manua na Inauwezo wa kubeba tray 8 za mayai. Ipo mwenge dsm. Bei ni mil 6. (Negotiable) 0713401812
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mganga wa jadi toka tanga ,yupo jijini dar es salaam anatibu magonjwa mbali mbali kwa ktumia dawa za asili yaani miti shamba hususani mizizi kwa wanawake wenye matatizo ya uzazi pamoja na wanaume...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nyumba yenye uwezo wa kua na ofisi inahitajika haraka Hello Nna kampuni ndogo inayofanya shughuli mbali mbali ila sijapata point nzuri ya kueka physical address. Kama yupo yeyote mwenye...
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Hey there Wakuu nahitaji kusafisha cheti changu cha form 4, kuongezea pass 1 tu katika masomo niliyo chemsha. hii ni ili kuweza kukidhi qualification entry za chuo (certificate level). natafuta...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
ninauza toshiba brand new haijatumika kabisa Ni Toshiba satelite c855-s5108 Specifications Intel® Core™ i3-3120M Processor 2.5 GHZ, Windows 8, 15.6" widescreen, 4GB DDR3 1600MHz memory, 500GB...
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Mganga wa jadi toka tanga ,yupo jijini dar es salaam anatibu magonjwa mbali mbali kwa ktumia dawa za asili yaani miti shamba hususani mizizi kwa wanawake wenye matatizo ya uzazi pamoja na wanaume...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapendwa natafta perfume designer hapo juu inaitwa just cavalli her, nmeitafta sana hapa dar cjapata nililetewa na mdogo wangu wakati anatoka Italy, ameshamaliza shule harudi tena, nisaidieni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina pikipiki nauza aina ya honda CG kwa laki nane cal 0714064767
0 Reactions
0 Replies
752 Views
NIKON D40 SLR 6 meagapixel , NIKON D50 megapixel, na PANASONIC LUMIX 10 Megapixel . zote katika hali nzuri . Ukitaka kuziona piga simu 0712652110 zipo DAR
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Used for 5 months, its in good condition and functions well. Colour: WHITE PRICE: 399,900 ukitaka mpya nenda dukani and ask for its price... Tshs.720,000/
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Hello Nna kampuni ndogo inayofanya shughuli mbali mbali ila sijapata point nzuri ya kueka physical address. Kama yupo yeyote mwenye information ya kunisaidia karibu sana. -Nyumba iwe na ukubwa...
0 Reactions
2 Replies
874 Views
JACEA ni kampuni inayoshughulika na kuuza magari katika bara la Africa. Wanayo magari mazuri yaliyo katika hali nzuri kwa bei nafuu sana. Tembelea website yetu www.japancarexporter.org. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hi JF!!! Natafuta fremu ndogo tu kwa ajili ya stationery hapa Dar eneo linalofaa kwa hiyo biashara isizidi laki kwa mwezi
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Back
Top Bottom