Imeshuka Juzi bandarini imeshasajiliwa no 368 CFL nzuri wewe ndo utakuwa mtu wa kwanza kutumia hapa bongo bei ni 6.5 million maelewano kidogo yapo ya mwaka 2001
NINATIBU MAGONJWA YA TABIA
Habari wanajamii
Napenda kutangaza huduma yangu kwa wale wenye matatizo yafuatayo:
1. Watu wazima waliopalalaizi, nawafanyia mazoezi (masaji) na kupewa dawa...
Toyota Starlet 4E, EP 91, 1330cc, silver inauzwa. Iko kwenye hali nzuri kama inavyoonekana kwenye picha.
AT,PW,PS,ABS,AC, 115,000km, sport rims, no accident, clean exterior and interior, fuel...
Guyz nauza tablet aina ya mid android tablet inch 7 ina kamera,wifi<wireless internet > ,gps, 3g,browser , camcoder, antivirus,notepad , gallery na vinginevyo price yake ni laki na...
Habari wadau,mafuta yaliyokamuliwa kutokana na mbegu za UBUYU yanapatikana,lita moja ni shilingi elfu 30 tu.
Kwa mawasiliano zaidii
piga simu namba zifuatazo:
0712385456
0713890628
nokia E72 inauzwa bei poa..bei tsh 100,000 tu..kila kitu kipo vizur sana kuanzia betri na vingenevyo..camera ni ya kurekebishwa kidogo..but ukiongeza elfu 10 utarekebishiwa bure.
Wahi sasa...
HTC Status ....100,000/-
HTC glide 150,000/-
Apple iphone 4 factory unlocked, synced to itunes before u buy and clean IMEI .... 500,000/-
Nokia Lumia 900 ... 500,000/-
Sony Ericsson Experia ... 2...
BETRI ZA SIMU, BETRI ZA CAMERA NA LAPTOP, BATTERY CHARGERS, PRINTER TONERS, SCIENTIFIC CALCULATORS, VITABU, LAPTOPS, DASH BOARDS ZA COMPUTER NAKADHALIKA.
JE, una kifaa chako cha Elentronic...
Samahani wajumbe ila naulizia kama mtu anafahamu sehemu wanapouza A4 T-SHIRT PRINTER na ntafurahi nkijua bei na eneo wanalouza na kama ntapata na namba ya simu then ntashukuru zaid
wadau kuna shamba maeneo ya kibaha kwamatias karibu na hospital ya burere lina vitu vifuatavyo nyumba yenye vyumba vitatu minazi 14 Michungwa 10 Miembe na vitu vingind vingi umeme uko nyumb ya...
Nauza haraka nyumba yenye vyumba vitatu ambayo ipo kwenye eneo kubwa la mita 35 kwa 30 Chanika mwendo wa dk 7 toka barabara ya lami. Umeme upo. Bei sh. Mil. 13, haipungui. Unaweza kuikarabati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.