Nimepungukiwa hela ya karo ya shule. Nauza laptop yangu HARAKA SANA!
Toshiba:- windows 7 Installed & office 2007
2.8 Duo core processor
2 GB ram
100GB Hard Drive
Price:- 500,000/= Negotiable
Heshima kwenu wote,
Naamini mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa taifa
Kuna kiwanja kinauzwa,
Kipo GOBA ukubwa wake ni mita 25 kwa 30.
Bei inaanzia mil. 15/=.
Kwa mawasiliano zaidi piga...
Ninauza gari aina ya suzuki swift ya 2001 yenye details zifuatazo:
1. Mileage 178000 KM
2. Reg number BJU
3. Iliingia Tz mwaka 2010
4. Iko katika hali nzuri sana ( inatembea )
5. Rangi...
1. Are you looking for an eye-catching Cv and job cover letters?
2. Are you tired of beingupset with job interviews?
3. Have you beenlooking for jobs without being called for an Interview...
Ndugu mwana JF nauza Rav4 L. Wasifu wake ni kama ifuatavyo:
1. Reg #: BZH
2. Model: Rav4 L 1997 Manual transmission 2WD
3. Odometer ~ 55,000KM
4. Gari ilipo: DSM
Bei ni 15M lakini maelewano yapo...
Nsagali Co Ltd. is a Tanzanian registered company and social
enterprise.
Generally Nsagali Co Ltd is a both an Authorized super dealer of Vodacom Tanzania Limited and Airtel Tanzania Limited. We...
Heshima kwenu wote..
Husika na kichwa cha habari hapo juu,, nyumba ya familia inapangishwa kuanzia february 1 2013..
Nyumba ina vyumba vinne vya kulala kimoja master bedrum,,
Ina umeme (...
Watendaji'
jana post yetu ya opportunity za biashara Botswana inakwenda vizuri
naomba kujua kama kuna mtu anahitaji matairi yaliyotumika kutoka Botswana size zote
Details zangu
0267 73553246...
NALIA, NALIA NALIA,NALILIA.
Leo naanza safari ndefu, mwaka jana nilipata habari za bintialiyeacha shule baada ya kushindwa kujilipia karo. alifaulu shule ya msingi,wazazi hawajiwezi, akawa...
Nauza Hp i3, imetumika miezi miatau bado iko katika hali nzuri.
Ina ram 2GB, hard disk 320, processor 2.5.
picha nimeambatanisha. price Tshs 570,000
call 0717354243
Kuna jamaa anatafuta mkopo wa 15,000,000 - 20,000,000.
Ana viwanja vinne vilivyopo eneo moja (square), kila kiwanja kina 35mx35m
Thamani ya kiwanja ni 5,000,000 - 7,000,000.
Viwanja vina hati...
Wana jamiiiii
Kiwanja (shamba) kina UREFU WA MITA SITINI(60M),UPANA WA MITA ISHIRINI NA SITA(26M) UPANDE MMOJA NA UPANDE MWINGINE MITA THELATHINI NA NANE(38M)
KWA MAELEKEZO ZAIDI.
PIGA SIMU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.