Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
LAPTOP computer inauzwa kwa bei ya kutupwa!!!!!!!!!!! Ni hp ram 3, hard disk ya 235, proceser ya 2.00, rating yake ni 32 bits, bei 500,000, mwisho 450,000, na baada ya hapo bei ni maelewano,, no...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji kiwanja chenye hati eneo lolote dsm kwa haraka ila ni lazima tukafanye search wizarani kwa register ilikujuwa kama ni halali no.0765616178 or 0787139327 nakihitaji kwa haraka sana
0 Reactions
5 Replies
1K Views
GEST KAUKUMBI NA BAR INAPANGISHWA.gest inapangishwa bei kwa mwezi mil 1nalaki 2 kodi anatakiwa yamwaka ipo temeke juu ya uwanja wa taifa matengenezo yote juu ya mwenye nyumba ofa mwezi mmoja bure...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimepigiwa simu jioni hii na jamaa yangu akiwa mgodini, amebahatika kupata kipande cha dhahabu. Shida yake kubwa ni kujua soko la dhahabu hapa Dar likoje? bei kwa gram moja ni shilingi ngapi?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
I salute u Wanajf! leo nimeshangaa sana, nilienda barabara ya 15 jiji la Tanga kupata huduma ya unga wa mahindi.Nilivofika nikamkuta mama mmoja wa kitanga nikamuuliza debe moja la mahindi ni bei...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hp 530 100gb hd 1gb ram 1.6ghz dual core betri na dvd drive imekufa pm iko dodoma
0 Reactions
0 Replies
731 Views
jamani n pata software ya kucheza ps2 games kwenye computer kwa anaeitaka ani pm au apige 0718164448
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ofisi ipo temeke chang'ombe karibu na serengeti(mchicha)ina chumba 3,choo 2 na eneo kubwa nje la kutosha kuweka display mbalimbali.kwa mwenye kuhitaji anipigie au ani text ktk namba 0688288111 au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nyumba ya kisasa na nikubwa sana . 1. maji yapo tena ni free coz kisima kipo apo apo 2. umeme upo tari 3. parking magari madogo 3-4 ipo 4. inavumba zaidi ya saba 5. ina fensi ya ukuta na gati...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ipo barabani maili 6 kutoka ms mjini.ukubwa wa 76 squre miter.inafaa kwa biashara yoyote.contact 0715840689
0 Reactions
2 Replies
1K Views
bajet kwa mwezi elf 35 kiwa na majia na umeme
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Duka/Frame au Biashara inayoendelea iko mtaa wa biashara na wateja wa kutosha pia inavutia sana,,,,na ina kila kitu kisheria inauzwa na mwenyewe, mnunuzi analipa tu na kuanza kuuza saa hiyo hiyo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Gari iko hapa Dar Es Salaam ni Auto na ina hali nzuri sana sana. Vitara V6.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
---------- 1 STOP PURCHASING LTD ® ----------- -------WHY BUY FROM US?------- Lowest Prices Checked,Huge Product Range, 24/7 Online Support, Fast Shipping Guaranteed, Safety and Security Assured...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Details: Toyota vitz. 2003 year. Mileage 45,000KM. Registered . Goes for 8M not negotiable. Contact: 0713 332019.
1 Reactions
29 Replies
3K Views
I have the following designer perfumes for sale. Calvin Klein Escape for Men 100mls - 150,000tshs Calvin Klein Escape for Women 100mls - 130,000tshs Calvin Klein Obsession for Men 125mls -...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Wakuu habari yenu nahitaji mwandishi wa proposals mzuri Awe dar es salaam Proposal yenyewe inahusu maswala ua utalii.... Ambaye angependa tufanye nae kazi anicheck kwa sms 0717277050
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii ni Camcoder na inauwezo wa kupiga picha 5.0MP.Imetumika lakini ipo kama mpya na haina tatizo.Ni kazuri sana hasa kwa kina dada.Inarekodi full HD 1080p na inatoa picha nzui sana.Inauzwa pamoja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Panasonic LUMIX DMC-TZ20/DMC-ZS10 14.1 MP Digital Camera - Black Nauza Camera ya Panasonic DMC-TZ20E ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Imetumika uingereza lakini imeshafika Dar es...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Rural development of tanzania(udsm press)1975
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Back
Top Bottom