Habari,
Natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala, siting room jiko na choo cha ndani pia iwe na sehemu ya kupaki gari katika maeneo kuanzia victoria, makumbusho na mwenge Jijini...
this week offer 1 pc left Brand NEW Dell streak 7 wifi+4g TABLET UNLOCKED ready to use ANY GSM simcard, with skype video calls enabled featuring 2.2 android UPGRADABLE. internal memory 16GB...
Kiwanja (shamba) kina Urefu wa Mita sitini(60m)Upana wa mita Ishirini na Sita(26m)upande mmoja na upande mwingin ni Mita thelathin na nane(38m)
Kwa maelekezo zaidi
Piga.0754 437711
0715...
Creative PLUS is a reliable Web Development, Website Design, Web Hosting and SEO services company in Tanzania providing professional website designing, custom web development, ethical search...
Wana jamiiiii
Kiwanja (shamba) kina UREFU WA MITA SITINI(60M),UPANA WA MITA ISHIRINI NA SITA(26M) UPANDE MMOJA NA UPANDE MWINGINE MITA THELATHINI NA NANE(38M)
KWA MAELEKEZO ZAIDI.
PIGA SIMU 0754...
CHARCOAL HOME DELIVERY LIMITED
Charcoal HomeDelivery Company Limited is a limited company established in 2012 aiming atdelivering/supplying charcoal to private homes, hotels, restaurants...
Waungwana
Mjumbe hauwawi.
Nimetumwa kutangaza kwamba mdau mmoja anayemiliki music production studio (iko Chang'ombe, Maduka Mawili, Dar) ameamua kuiuza. Sababu ni zake mwenyewe. Vifaa vyote ni...
KIWANJA CHENYE UKUBWA WA EKARI MOJA KINAUZWA KIPO KARIBU NA SHAMBA LA MH. KEENJA au KARIBU NA SHULE YA SEKONDARI MBOPO.
KIPO KARIBU NA BARABARA NA GARI LINAFIKA MPAKA KWENYE KIWANJA
BEI MILIONI 13...
Web Development Training in Joomla @ COSTECH Kijitonyama Event in Dar Es Salaam, Tanzania
Come and learn about latest Web Technologies and Web Content Management System (CMS) with Joomla...
Salam wadau, napenda kuwataarifu kuwa sasa nimeshaanza kuuza mpunga, bei ni sh 100,000 kwa gunia la kilo 90. Kwa yeyote atakaependa kununua, tafadhali usisite kuni PM. Karibuni sana.
Gari ndogo aina ya subaru forester ya mwaka 2000. transmition ni menu. Imeingia nchini mwaka 2009 rangi yake ni nyeusi. Bei ni mapatano. Kwa mawasiliano namba za simu 0784-604065/0762-575759
habari
nilikuwa nauliza Bei ya Samsung Galaxy S ii kwa maduka ya Dar es salaam in Range kati ya shilling ngapi na ngapi kwa simu mpya dukani!
Anaefahamu pleaz anijuze
Simu iko katika hali nzuri with original battery na original charger na cover yake pamoja na screen protector.. Nicheki kwa number hii.. Text or calls.. 0718882873
wasiliana na Mwl ndugu Mwinyi mtafusiri mstafu uzoefu zaidi ya miaka 25 katika taruma iyo BAKITA-baraza La Kiswahili Tanzania {Alie kwenye jopo lakipindi cha TBS cha daru zakiswahiri}Anatafsiri...
Wandugu nahitaji kununua gari suzuki carry je inauzwaje na inaweza kunisaidia kuingiza kipato changu kama nitaiweka barabarani ikodishwe wenye ideas pse msaaada wenu nawasilisha wazee.
Nauza computer aina ya HP (LAPTOP) ambayo ina ukubwa wa 3GBRAM, PROCESER: ADM SEMPRON (tm) M100 2.00GHZ, 235GB, 32 BIT OPERATING SYSTEM. Bei ni maelewano, bei yangu ni 500,000, mwisho 450,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.