Habari zenu wadau! nahitaji kununua gari toyota ist ambayo ipo katika hali nzuri.
Specifications
1. Rangi yoyote kasoro nyeupe, nyekundu na dark blue (blue bahari haina shida)
2. Ndani iwe safi...
Wadau natafuta nyumba/chumba na sebule katika manispaa ya Morogoro hasa maeneo ya Bigwa yote mpaka mwanzo Mgumu,Misongeni,Kola na nanenae au popote ndani ya manispaa ya Morogoro,kikubwa vyumba...
Heshima kwenu wadau wa JF,
Naomba kwa watu walio Arusha nahitaji kupata nyumba ya kupanga haraka sana,
tafadhali kama kuna affordable apartment itakuwa ni chaguo la kwanza, kama bei ni aghali...
Easy -Easier -Easiest Advertising Centre Just click . Arusha Online: ARUSHA ONLINE
The BlogSpot that brings customers close to you
Our rates have deliberately been kept low to give...
Wana JF ninauza GPS Magellan Explorist 100 ambayo hutumika na maofisa ardhi kujua coordinates za kiwanja katika hatua za mwanzo kabla upimaji mkubwa haujaanza. Hii husaidia kujua location na...
Wajamaa,
Hii carry- truck hapa inauzwa. Inatoka bandarini wiki hii, wahi uipate. Bei ni TShs 7,600,000 tu!!!
Imelipiwa kila kitu mpaka sticker ya fire, unaweka tu number plates na bima...
Greetings!
Wakuu kwa wanao hitaji ramani za nyumba (Residential Houses) pamoja na cost- estimates zake tuwasiliane, pia Sisi kama BUILK BUILD tunakujengea nyumba yako at a high quality needed...
ndugu wanajamii kuna eneo la machimbo ya kokoto heka 55 linauzwa, eneo lipo msata bagamoyo limepimwa lina title deeds kati ya heka 55 heka 2 tu ndo zimechimbwa bei yake ni ml 350 kwa maelezo zaidi...
habari wanajamii! kuna eneo linauzwa lipo barabarani maeneo ya zinga. eneo lina ukubwa wa heka 2 linalofaa kwa makazi, kilimo au mifugo, huduma za maji na umeme zipo bei yake ni ml.16 tu kwa...
salam, wanajamii! kuna eneo la heka 6 zinga bagamoyo linauzwa lipo umbali wa mita 800 kutoka barabara ya bagamoyo road eneo halina mgogoro huduma za jamii za maji, barabara na umeme zimefika eneo...
Kabari wanajamii! kuna surveyed plot ambayo ni medium size inauzwa bagamoyo mjini maeneo ya ukuni plot ina ukubwa wa sqm 760 huduma za jamiiza maji na umeme zinapatikana, bei yake ni ml 7.5 if you...
Greetings!
Wakuu kwa wanao hitaji ramani za nyumba (Residential Houses) pamoja na cost- estimates zake tuwasiliane, pia Sisi kama BUILK BUILD tunakujengea nyumba yako at a high quality needed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.