Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Jiko na mixer ya bakery zinauzwaNauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza nokia x2 lk 1na 10,e63 lk1na 70,bold 9700lk330,nokia 6230i lk 1na 50,b,bcurve lki na 50 nitafUte 0652740304 ally
0 Reactions
1 Replies
983 Views
http://www.investinafrica.com Hii ni website ambayo ina dili na investing in Africa wadau wa Investing naomba mtusaidie ufafanuzi hawa jamaa wanapataje pesa na je kuna uwezekano wa mtu kuanzisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta simu used yoyote ambayo kwenye mambo ya internet iwe safi,bei iwe ya kitanzania,yoyote anijulishe
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Haijakamilika kama inavyoonekana katika picha. Inavyumba vitatu vya kulala. sebure jiko na dinning. Ina umeme na mita ya luku tayari. Bei 85mil. Ikiwa unahitaji kuiona piga simu 0717114409 kuweka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ipo karibu na Canossa Primary and secondary school. Ina vyumba vinne vya kulala viwili vikiwa self contained. Ina jiko, dinning na sitting room. Ina uzio. Ni nyumba nzuri ya kisasa inafaa kuishi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeanzisha bakery yangu na niko kwenye process ya kuiboresha. Mojawapo ya kitu ninachotaka kukifanya ni kushapisha mifuko ya mikate. Wapi naweza kuchapia mifuko ya mikate kwa bei nafuu?
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Mwenye hiYO simu na hitaji ofa yangu 80000
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani shamba linauzwa ipo karatu kilima tembo karibu na ziwa manyara bei maelewano, ekari 50
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau bei za tablets ipad zinarange vp kwa sasa. Spec's za kawaida 2 ni kwa matumizi yangu ya kawaida. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Toyota Nadia 2002 model (ex-Japan) is for sale. The car is registered,duty paid and comprehensively insured. The car has been well kept and mechanically maintained. It is in Dar Es Salaam. Here...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninauza Daf CF 430 HP toka UK imetoka bandarini juzi, rangi yake ni nyeupe (Pearl white) na ina hali nzuri sana. Bei ni maelewano. Endapo mtu anataka kuiona ipo Temeke Mwisho na kwa mawasiliano...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza Gx110,ipo safi haina shida,inatembea full option..ODO 160,000kms,Nyeupe,Alloys Rims, Reasons ya Kuuza; Ipo Dodoma,nimehamishiwa Dar Nimepatiwa Gari Nyingine. Sent from my BlackBerry 9900...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Connect your computer to a Mobile Broadband Internet connection. The D- Link 3.75G HSUPA adapter allows users with a computer to connect to any Mobile Broadband networks. BAND 850,900, 1800, 1900...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
bei sh160000 pungufu maelewano used 1month..ina kila k2;1Gb memory card,charger,usb wire
0 Reactions
1 Replies
812 Views
mwenye nayo mpya or used naihitaji!!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF nauza Acer travel mate 2490, yenye H:D 60GB, INTEL CELERON 1.8GHz/1866MHz,1GB Ram,ipo Morogoro,bei ni 280,000,ni used one na inahitaji a new battery,maana iliyopo ina last kwa 15 mins only...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji cover ya simu Motorola RAZR XT910
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Kwenu wanajamvi, Natafuta kazi yeyote inayohusiana na IT iwe kudesign au kufundisha yote sawa, nipo dar, naombeni msaada wenu. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
923 Views
specification zake ni kama ifuatavyo...operating system: window 7, system manufacture: acer, system model: Aspire 5334, Webcam, Processor: Intel(R) celeron cpu @ 2.2 GHz, RAM: 3 GB, Hard disk: 250...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom