Khabari wanajamii! kiwanja kinauzwa, kipo kwenye eneo zuri lililojengeka kwa mpangilio, huduma za umeme na maji zipo. kiwanja kina ukubwa wa mita 20 kwa 20, kiwanja kipo mapinga upande wa kulia...
Wakuu heshima kwenu. Naomba msaada katika kuanzisha uchomaji wa kiepe jjn dar es salaam niandae kiasi gani kama mtaji. Tafadhari wakubwa maana kujibweteka tu na kusoma mwisho wa siku utajikuta...
Nahitaji chumba kimoja au hata viwili(chumba na sebule) vya self kwenye mitaa husika hapo juu.
Naomba hata mwenye namba za dalali tu anisaidie maana nna shida kweli.
Khabari wanajamii! kiwanja kinauzwa bunju b kimepimwa kina hati kiwanja kina ukubwa wa sqm 2,243. bei yake ni ml 40 maongezi yapo kwa mhitaji contact 0714104788 au0714107215
Wakuu kiwanja kinauzwa kipo kisiwani Mafia, kina ukubwa wa square meters 1019 na kimepimwa! Anayehitaji PM please
Ni medium density na asking price is 3.5m Tsh. Eneo ni Kilindoni
Nyumba ya kisasa inahitajika kwa ajili ya kupanga maeneo salama na mazuri huko Morogoro, Tanzania. Iwe ya Kisasa yenye vyumba kati ya vitatu au vinne. Iwe na maji na umeme wa uakika. Dalali...
Nyumba inahitajika kwa ajili ya kupanga maeneo salama na mazuri huko Morogoro, Tanzania. Iwe ya Kisasa yenye vyumba kati ya vitatu au vinne. Dalali hatakiwi katika zoezi hili. Unaweza tuma picha...
Prado ya mwaka 2002, imeingizwa nchini July mwaka jana. Ina hali nzuri sana, bei maelewano. Mwenye interest ni-PM kwa details na picha. my email: tfnola@gmail.com
Wakuu ninakiwanja morogoro eneo la Lugala pembezoni mwa mazimbu, eneo maarufu sana kwa kuchimba mchanga kwa sasa kuna watu wanaishi, mji yapo planned na nimeshalipia. Kinaukuba eka moja. Bei ni 4M...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.