Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Viko viwili eneo la KIJICHI - MGENINANI kimoja ukubwa wake ni square meter 527 bei yake nh 20 mil na kingine ni square meter 480 bei yake pia ni mil 20. Gari linafika bila tabu yeyote. For more...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau, Radio Consult Limited tunatoa huduma safi sana kama ifuatavyo:- 1. Unahitaji kuanzisha radio na hujui cha kufanya? 2. Radio yako haitoi faida na inakaribia kufa? 3. Radio yako haina...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Toyota Corolla Limited,MODEL AE91 ya mwaka 1990,Engine Capacity 1498 cc,Seat cap 5,Body type SALOON(closed top),GROSS WEIGHT 1000,WHITE COLOUR,Odometer 99,800.......Imetumika kwa matumizi binafsi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ps3 slim inauzwa...ni pm au text 0767911147
0 Reactions
1 Replies
982 Views
Ndio...ni overdraft ama working facility kwa makampuni yenye uhitaji. Inatoka from 200mil to 2.5bil ndani ya siku 21 frm the day that all necessary documents are submitted to us...tupo serious kwa...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
wana jf nimeona niwaletee taarifa ya kiwanja kinachouzwa maeneo ya Salasala Dar kwa bei ya 6.5m tu. Ukubwa wake ni 25 kwa 22 mawasiliano ni 0712232849
0 Reactions
3 Replies
3K Views
blackberry 9300, good condition
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tafadhali wakuu wa kazi, Najua nikiamini Mungu wangu yupo pamoja nanyi, sasa me mwenzenu nahitaji screen ya laptop niliyoileza hapo juu msaada tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
waungwana nina laptop yangu aina ya SONY VAIO VPCEG3BGX/B 14 LED Notebook. Nimeidondosha ikapasuka dsplay. Je naweza ipata wapi dar hii?
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Kwa kifupi simu yangu nilitaka kuiuza ila nilibadili mawazo baada ya kuinstall Android ikawa ina os mbili ya maemo na Android gingerbread ila kwa sasa nina uhitaji wa hela nimelazimika kuiweka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
asalaam wanajamii natafuta pull up bars zile ambazo unatundika mlangoni, sitaki zile zinazo tengenezwa mitaani.
0 Reactions
0 Replies
959 Views
MZUNGUKO WA FEDHA MKOANI BUKOBA UKO VIPI AU TUNAWEZA KUFANANISHA NA JIJI GANA TANZANIA??? Jeh dar es salaam, mbeya, iringa au wapi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza kiwanja kiko maenoe ya kinzudi b ni sehemu tambarare kabisa. kina ukubwa 20x20. kama utaitaji wasiliana nami 0714500004
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa kifupi simu yangu nilitaka kuiuza ila nilibadili mawazo baada ya kuinstall Android ikawa ina os mbili ya maemo na Android gingerbread nikabadili mawazo ila kwa sasa nina uhitaji wa hela...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
NYUMBA hii inafaa kwa matumizi ya kuishi au ofisi ipo Upanga mtaa wa longido, nyumba ina vyumba 7 . sitting room .dinging , store . na servant counter ina bed rooms 2 na jiko na store, compound...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Toyota Carina TI engine capacity-1498cc year of manufacture-2001 mileage 98,000km price-8.7m o.n.o gari inapatikana DSM contacts 0787887701, 0715376378 whatsApp # 0787887701
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Poleni na majukumu wakuu, ok kwa wale wakazi wa moshi na arusha wanaohitaji ku-unlock( kuchakachua) modem zao ili kuwawezesha kutumia mitandao yote na kuwa huru kuchagua mtandao wowote...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Ndugu Watanzani Karibuni kwenye huduma yetu mpya ya kuhifadhi udhamini (warranty) za simu. Wadau wengi wamekuwa wakinunua simu na kupewa udhamini wa muda fulani wa simu zao. Ila pindi wakipoteza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wanajamvi Jamani mwenzenu natafuta mojawapo ya camera hizi: canon D1100 au Sony 5100 nahitaji ya bei ya chini kadri iwezekanavyo ila mpya.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanajamii. napenda kuwafahamisha wale wenye mahitaji ya kuprintiwa document zao, iwe ni kwa ajili ya tenda au michoro kama vile ramani etc, basi usisumbuke njoo kijitonyama, akachube road...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom