Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kuna trector MF linauzwa kwa sh 22.0M, Trector hili lina jembe tu na lipo Dar. Maswali yote ya utalaam piga simu hii 0754265045. liko vizuri na unaweza kuliona kama uko tayari.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wakuu...natafuta desktop computer (dell or hp),.. Iwe atleast na hdd 80gb,.1gb ram, pent m or intel, dvd writter, flat screen monitor,keyboard na mouse... N:B iwe in a mint...
0 Reactions
4 Replies
945 Views
Sony Ericsson XPERIA X10 mini pro inauzwa TSH 200,000Inafanya kazi na ipo katika hali nzuri kabisa bei laki mbili sh200,000 . wasiliana na Habibu 0717810318 Product Information Ask a friend...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Blackberry Bold 9700 for sale usedNauza blackberry bold 9700 .imetumika lakini ina fanya kazi na haina matatizo wasiliana na habibu 0756766588 or 0717810318 bei shs 260,000 Attached Thumbnails
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Samsung mobile phone gt-s3650 2.0mp camera full- touch lcd microsd inauzwaSAMSUNG MOBILE PHONE GT-S3650 2.0MP CAMERA FULL- TOUCH LCD MICROSD. Inafanya kazi na ipo katika hali nzuri na ilitumika...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Nokia n91 mobile phone forsaleNOKIA N91 MOBILE PHONE Imetumika na inafanya kazi bei sh 80,000 . wasiliana na Habibu 0717810318 Product Information Groove on the go. This pumping mobile...
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Kama una umeme nyumbani kwako, basi kifaa hiki ni rahisi kutumia kupunguza unene na uzito. Bonyeza hapa kuona picha na maelezo zaidi. Ukipenda niandikie info@g12.hk
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hi kichwa cha habari kinajieleza na bei ni 65000 piga 0717017820 kwa maelewano.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mashamba yanauzwa bagamoyo kila heka 1 laki 8 yapo sehemu nzuri barabara ya kuelekea kiwangwa zipo zaidi ya heka 300 kwa mawsiliano zaidi 0714107215 au 0714104788 Mudy Muzungu
0 Reactions
11 Replies
3K Views
sumsung galaxy tab 10.1 inauzwa,ipo kwnye hali nzuri battery inalast long.kwa anayeihitaji tuwasiliane kw no.071423935 ucbip tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa ipo tegeta kwa ndevu inatazamana na bagamoyo road ina vyumba 6, kolido, na frem nne kwa mbele bei ml 190 kwa mawasiliano zaidi piga 0714104788 au 0714107215
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa anayejua anaeza niagizia,niko dar.dawa inaitwa shabu naskia unaweza kutumika kupunguza jasho la kwapa kwa mtu anaye toka na jasho sana.
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Wakuu, natafuta chumba cha kupanga maeneo ya mwenge near tumaini university.... Kama kipo weka contacts zako tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello! Jamani kuna gazeti/ jarida jipya limeanzishwa special kwa mambo ya harusi linaitwa malaika magazine. Kwa wale mliofunga harusi mwaka huu na mgependa kutokea gaeteni mtume picha za harusi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
KARIBUNI sana wana jf.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Simu hiyo hapo ina 16gb na ram 1 gb. Bei ni laki sita. NiPm au mail me at baraka607@gmail.com Click link hiyo kuangalia picha yake...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
TWIGA HOSTING LTD... Wfrobot Enterprise Resources Planning SOFTWARE FOR Ø sales management (AR) Ø Purchasing Management (AP) Ø Inventory/Stock Management Ø Asset Management...
0 Reactions
3 Replies
908 Views
Wapendwa nahitaji simu aina ya blackbery sasa nashindwa kujua ipi ni nzuri so please naomba ushauri ninunue ipi pesa yangu pia si nyingi pls pls nisaidieni nisije nikaingizwa mkenge hapa mjini
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Waungwana habari zenu. Naomba kujuzwa kama nawezapata nyumba kwa hiyo hela hapa Dar maeneo ya Kimara, Mbezi au Tegeta au penginepo, hata kama haijamalizika. Kuna rafiki yangu anahitaji. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sabafu (forester) t 285 bdx bei yake ni mill 11 isuzu (big horn) bei yake ni mill 14 vista bei yake ni mill 11 vitz bei yake ni mill 7.5 there is a room for negotiation. Call 0713532322 for more info
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom