Kuna chumba kimoja self contained maeneo ya surve,i dk kama 4 hivi toka mlimani city, pia kuna nyumba ya vyumba viwili sebule, jiko na toilet maeneo hayo ya savei. Kwa upande wa nyumba bei ni...
Kwa mahitaji yako ya kuprint T-shirts kwa matumizi ya mtu binafisi, kikundi, shule nk. usisite kuwasiliana nasi.
Mawasiliano: 0712336030 au 0758105225.
Linaitajika Shamba morogoro road kwa ajiri ya mifugo maeneo ya kuanzia Mlandizi kuja mpaka Kibaha.
Ukubwa ni kuanzia 5-10acres.
Normal price please.
Serious sellers only.
Kiwanja kipo Mtoni kijichi block C . Plot no... hapa Dar es salaam
kipo eneo zuri na salama unaweza jenga nyumba ya makazi au biashara.
kinaukubwa wa (1.12) hectares au 2.8 heka ( heka 3 kasoro...
Ile ahadi ya umojaswitch kutoa zawadi kwa wateja wake kwa miezi mitano mfululizo imeanza leo, Bwana Samson Peter Migana ameibuka mshindi kwa kufanya transactions nyingi kwa mwezi wa nane kuliko...
Wadau wote wa biashara hapa nchini Tanzania, China, Hongkong n.k , naomba mtembelee website(www.g12.hk) yetu kujionea kazi zetu tunazofanya.
Baadhi ya kazi zetu ni:
Kutafuta bidhaa kulingana na...
1 kiwanja kinauzwa kina hati ukubwa wake ni square metre 1710 kipo Tegeta block "B" (MASAITI) bei ml 150
kwa mawasiliano zaidi piga 0714104788 au 0714107215
2 Kiwanja kizuri kipo Tegeta...
hivi ni viwanja vya kupima , unachotokiwa ni kulipa gharama kama inavyoonyesha hiyo vocha na hela yangu ya udalali ni milioni mojo kwa kila kiwanja-0712769766- viwanja hivi vimeshauzwa
Gari yenye sifa zifuatazo inauzwa kwa Tsh7500000 na maongezi yanakubalika
Model:Nisani Lucino
Year: 1997
Milage: 73410KM
Engine size: 1490cc
Ipo katika hali nzuri, niliagiza kutoka japani may...
Wanajamii heshima kwenu!Nimeona vema niwashirikishe, kuna jamaa yangu amebanwa na majukumu ambayo yamemlazimu kuuza kiwanja/shamba lake lenye ukubwa wa heka moja kwa sh mln 3.5 tu,liko kibaha...
JE UNAJUA BIASHARA ITAKAYO FANYA VIZURI MWAKA 2013 NA KUDUMU KWA MUDA WA ZAIDI YA MIAKA 10 HUKU IKIWA IMARA KIUCHUMI?
HIZI NDIZO ZITAKUWA SIFA ZAKE
1. ITAKUWA NI BIASHARA YA HUDUMA (service...
Toyota Corolla Limited,MODEL AE91 ya mwaka 1990,Engine Capacity 1498 cc,Seat cap 5,Body type SALOON(closed top),GROSS WEIGHT 1000,WHITE COLOUR,Odometer 99,800.......Imetumika kwa matumizi binafsi...
Kama kuna mtu anajua dawa ya mende anijulishe tafadhari, nimefanya furmigation lakini wamerudi tena najitahidi sana kuzingatia usafi lakini wanarudi tena wale wadogo wadogo
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba 2 sitting jiko na choo na luku yake pawe panafikika ikipendeza na maji yakawepo itakuwa pouwa namba yangu ni 0786 670 121 inahitajika kufikia tarehe 15...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.