Hi everyone!
Nauza Android v4 Tablet PC bei Tsh 260,000/=
Its almost NEW, nimeitumia kwa muda wa wiki moja tu.
accessories ni packaging box, charger & USB cable
Specs & Details
-...
Kiwanja hiki kipo wilaya ya Temeke Dar es salaam. katika mji wa mwasonga uliopo kisarawe 2 unaingilia njia panda ya Dar es salaam zoo. ni km 35 kutoka feri ya kigamboni. kiwanja hakina hati ila...
Wadau naombeni nifunguke kwanza kwa kutoa salamu kwa wana jamv. Kwa anayejua aina ya music mzuri uwe wa mwingereza, mchina na wengineo anijuze kwani nahitaji music system nzuri na isiwe home...
Hello friends,
Nahitaji hela kiwango flani..hivo imenilazimu kuuza baadhi ya gadgets zangu kama ifuatavo..
USB TV Tuner: (60,000/=) unachohitaji ni kuwa na computer na antenna yako..unapewa cd...
kama kichwa cha thread hapo juu,natafuta chumba ambacho ni selfcontained maeneo tajwa hapo juu...bei isizidi Tsh 65000 nipo tayari kulipa mwaka mzima.namba 0757235684
Ipo katika hali nzuri ila ina tatizo la camera haifanyi kazi,kwa yeyote aliye-interested apige 0712235965...ina 8gb,bei ni 250,000,ila inaweza kupungua..napatikana Arusha...
Generator ndogo inauzwa DSM
Aina: Apollo, AP3900 DXE, HP 5.5, Japan Technology.
Hali yake: Jino moja tu inawaka. Ni kama mpya.
Uwashaji: Inatumia Betri (Imekufa) na kamba ya kuvuta.
Matumizi...
Sifa zake, kiko tegeta,madale kwa mbopo. kimepimwa na kina docoment zote (yaani hati),ukubwa wake ni 70 kwa 45 mahali kilipo ni eneo lililojengwa tayari sio porini na gari inafika bila...
Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini...
specification angalau ziwe kama ifuatavyo....
ram....2gb na kuendelea
processor....2.5 na kuendelea
hdd....200 na kuendelea!!
email yangu hii hapa...jonx.palx@gmail.com....bei iczidi 350000
Nauza nyumba, ipo tabata segerea-Dar es salaam karibu na nyumba mpya za maafisa magereza za segerea. Nyumba ni mpya kama inavyoonekana kwenye picha.
Nyumba ina sifa zifuatazo:
3 bedroom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.