Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Ninauza viwanja viwili. Kimoja kipo Arusha kijiji cha Moshono Kati. Ukifika Moshono bus stand ukitokea Arusha Mjini unafuata barabara ya vumbi mkono wa kulia. Ni mwendo wa robo saa tu kwa mguu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
2005 model off-white, 1490cc VVT-i engine, VERY POWERFUL ENGINE, FULLY DUTIES PAID REGD. T###BZP, MAY 2012 IMPORTED DIRECTLY FROM JAPAN, 5 SEATERS, ORIGINAL ALLOY WHEELS, EXCELLENT...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina tatizo ma Staff wa kitengo cha CC cha Vodacom. Kwa kuwa wameshindwa kunipatia ufumbuzi naanza kupanda ngazi kwenda juu. Tafadhali sana kwa anayejua naomba kupata email za CEO wa Vodacom, ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eneo ni kubwa na linafaa kwa matumizi ya biashara kama garege, parking ya magari makubwa au kiwanda. lina ukubwa wa SQM 14,600. eneo lote limezungushiwa ukuta. ndani lina nyumba ya kisasa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WAkuu napenda sana hizi simu, i love WebOS...ambaye anayo kati ya hizi nayo aniPM
0 Reactions
0 Replies
874 Views
htc wildfire S with 2GB SD card used for 4 months under intendive care for Tsh 420,000/=,, interested ni PM to negotiate,,,,pamouja
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Travel Agent from Russia looking for Hunting safari packages 7 days Package 14 days Package 21 days Package All inclusive Am a Business Development Expert and Online Marketing Expert. The...
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Ni msichana (from Ethiopia), yupo DSM kikazi na amepanga nyumba maeneo ya Kariakoo, mtaa wa Narung'ombe. Ina 2 bedrooms, kitchen, sitting room, toilet na bafu na sitting room. Anatafta met ambaye...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Samsung Galaxy Tab 2, 10.1 64GB!! Brand New. Price:800,000Tsh PRICE IS FIRM NO NEGOTIATIONS Call or Txt For more Info:0782221405
0 Reactions
2 Replies
942 Views
Jamaa yangu anatafuta kiwanja maeneo ya njiro kwa bei poa, please wasiliana kwa pm
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Habari wadau!!!! Kutokana na ushindani na ukosefu wa ubunifu tumejikuta watu wote tunafanya biashara moja na kunyanganyana wateja kwa hali zote mpaka kwa ndumba. Kwa kuliona hilo tunatengeneza...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mjasiriamali Deogratius kilawe Wa MIKONO Business consult(C.E.O)atazindua kitabu chake pale Holiday inn hotel ikiambatana na semina inayokwenda kwa jina "TAMBUA FURSA ZILIZOPO TANZANIA ZA...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza Nokia x2-05, 1 month used.
0 Reactions
2 Replies
937 Views
Natafuta used fotocopy machines, kama unafahau wanakoziuza hapa dar, please let me kno.
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Habari nauza kiwanja Mbezi Maramba mawili njia inayokutanisha mbezi na Kinyerezi. kipo barabarani eneo zuri.kina ukubwa wa 20x20.bei maelewano Piga 0717-706259 Mbano
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hello, This is for all owners of the medium size restaurants/ hotels as well as big families. Simgas Tanzania Limited has a complete solution for you with its completely new product launched...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kiwanja kizuri kipo pembeni ya barabara kwa mujibu wa ramani. kipo eneo la Bunju A wilaya ya kinondoni. kina sqm 1,000 kimepimwa na kina hati. tunahitaji mnunuzi wa haraka bei powa ni Tsh...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waungwana swalama? Wale wa kufunga, poleni na hongereni sana. Nina shida ya kununua farasi na kumfuga kwa Dar es salaam, ni wapi naweza pata mbegu nzuri ya farasi, kwa yoyote mwenye idea ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari zenu........naweza kupata wapi wachoraji wa tattoo kwa dar es salaam au stika zile za temporary tattoo zinauzwa wapi. Nawasilisha wadau
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimepambana na udanganyifu mkubwa wa ukusanyaji kodi unaofanywa na watu ambao siyo waaminifu kwa kutumia jina la TRA. Mwenye namba simu nambako naweza kuripoti tatizo nililokutana nalo tafadhali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom