PLOT 2 zilizoshika zipo BUNJU A BLOCK 6, moja ina ukubwa wa 1450sqm na nyingine 1250sqm,
zina hati, kila moja inauzwa milioni 50.
PLOT 1 inauzwa, ina nyumba kuukuu, ipo oposite na exim bank...
Wakuu,
Nahitaji land surveyor kwa ajili ya kupima kiwanja changu maeneo ya Tangi bovu, mbezi beach.
Nimejaribu land surveyor wawili, ila sikuwapenda kwa kuwa hawakuwa makini na pia ni waswahili...
Ni nyumba nzuri, ina vyumba 4 vya kulala , sebule, sehemu ya chakula na choo. pia pembeni yake kuna nyumba yenye vyumba 3,nyumba ina kisima cha maji, umeme, na imezungushiwa ukuta ndani unaweza...
Heshima mbele wadau...!!
Kama upo Arusha na unahitaji Computer Used Bomba...Tuwasiliane........
Zipo HP DC7600 (CPU 3.0GHZ, 1GB-RAM, 80GB HDD Windows 7 Ultimate) + HP 17"TFT Monitor (Flat...
Wadau wapi nitapata hii mashine kwa lengo la kurahisisha kilimo cha vitunguu (umwagiliaji maji) about half an acre? Mimi ni mjasiriamali mdogo tu nipo huku wilaya ya Ruangwa. Please niambieni na...
Karibuni mboreshe afya zenu(ikiwezekana na kipato) kwa kutumia bidhaa bora kabisa ulimwenguni zilizotengenezwa na aloe vera(Shubiri).
Bidhaa kama Forever Bright Toothgel(Bidhaa ya meno) ni bidhaa...
Nyumba ni kubwa ina vyumba 4 vya kulala na uwani ina vyumba 3 jumla ina vyumba 7. pia ina choo ( public toilet) uwani, mbele ina vyumba 2 vya biashara ambavyo vimeunganishwa na nyumba. imeezekwa...
how are you everyone? house for sale!! it has 2master bedrooms,2bedrooms,1sitting room,1dining room and e.t.c the house is at Sinza, Dar es salaam Tanzania. if you are interested on it please...
Wakuu nina computer dell pentium 4,Hd 160gb,Ram 512,screen hp 21 inch. Siyo flat ina vga pin mbili means unaweza ku tumia cpu 2 on the same monitor.
Contact 0719081205
Wakuu,
anayehitaji moja ya bidhaa hizi ani PM
Majadiliano yapo.
0655123683
0759123683
Safisha Nyumba mimi...
Bidhaa
Bei
Maelezo Zaidi
Dish Futi 6 na decoder yake(Mediacom)
180,000
Madishi ya...
Nina eneo kubwa zaidi ya nusu heka hapa Upanga Dar - Es - Salaam,eneo ni zuri kwa ajiri ya kitega uchumi , kama apartment n.k , eneo lipo kiharali na kila nyaraka muhimu ipo. eneo limezungushiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.