Wadau nategemea kuhamia arusha mapema mwezi ujao kwa neema ya mungu.naitaji nyumba au vyumba viwili vya kupanga.sio mwenyeji arusha ila ofisi yangu itakua eneo la njiro karibu na chuo cha esami...
Hello!
Make & Model: Toyota Platz 2001,
Imported: 2008
Engine:1000cc
Km: 70,000
Automatic, Power Windows, CD Player, Fuel Efficient, Comfy, and in Excellent Condition.
Contact :0715140247.
Kwa huduma za designing na printing invitation cards
business cards
bronchures
callenders
banners
printing
posters
fliers
logos
na Public Relation and Advertising ideas and planning. Tunajali...
Tunasupply electronic door locks kutoka germany. Kifupi tu ni kuwa hivi vitasa vinafunguliwa na kadi za kielectronic.
Faida ya hivi vitasa
Alarm ya uvamizi(burglary alarm)
Alarm ya kukukumbusha...
Ndug wana JF.,Habari zenu..
Nauza bajaj 2 aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zinatembea barabarani.
Kwa kila moja bei yake ni sh MILLIONI MOJA NA LAKI NANE (Tsh 1,800,000).
Zipo eneo...
Kiwanja kimepimwa na tayari kimewekwa jiwe, ndani yake kuna nyumba 2. eneo lipo sehemu nzuri sana kwa matumizi ya biashara ya Shule , chuo au unaweza badilisha matumizi ili kiendane na matakwa...
wakuu kuna ipad one 64 gb WIFI 3g used for 1.5 month.
ios 4
scratchlss best condtion just charger na cover nyeusi ya kufunika kote.
najaribu kuweka picha inagoma.
bei 720,000 tsh...
Heshima mbele wadau...!!
Kama upo Arusha na unahitaji Computer Used Bomba...Tuwasiliane........
Zipo HP DC7600 (CPU 3.0GHZ, 1GB-RAM, 80GB HDD Windows 7 Ultimate) + HP 17"TFT Monitor (Flat...
Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya SINZA, KIJITONYAMA na MWENGE, Uwezo wangu wa kifedha ni shilingi 50,000/= kisiwe uswazi na ikiwezekana MWENYE NYUMBA asiwe anaishi hapo.
Nyumba hii inakiwanja kikubwa na gari inafika , mnunuzi atabomoa na kujenga nyumba hata ya vyumba 3 na akabakiwa na eneo la kujenga geti, ni mbovu na chakavu. weka picha kichwani ya nyumba mbovu...
3months used, in great condition, comes with charger only,
iOS 5.0.1, modem firmware 4.10.01, inatumia gevey plus
bei 700,000/= available in dar
Contact me 0786882986
Habari; natafuta location ya UAE exchange kama wana branch yao kwa hapa Dar es salaam, kama kuna yeyote ujuaye ilipo naomba msaada anijuze nahitaji kutuma hela kwa mtu yupo Dubai.
Aksante!!
K iwanja kinauzwa kiko maeneo ya Bahari Beach kinaukubwa wa square metre 3000. Kiwanja kiko barabarani kizuri kwa matumizi ya nyumba ya kuishi, hotel na matumizi mengine ya kibiashara bei ni...
wadau kuna jamaa kanisaidia kupata mkopo kariakoo , branch ya stanbic ,wanatoa mkopo kwa wafanyabiashara walio kariakoo bila security , kaniuliza kama kuna watu wapo interested, if you are...
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika.
Camera hii itaambatana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.