habari JF
kwa anaye itaji gari anaweza kuchek at Log In | Facebook in facebook na kusema aina ya gari analoitaji na pia kuna baathi ya magari ambayo yapo tayari kwa kuuzwa or chek on 0716-369299...
Kiwanja kina ukubwa wa 2280 square meters. Kimetenganishwa na sehemu ya NSSF kwa barabara tu. Kimepimwa na kina hati. Bei yake 25,000,000. tu. Kwa mawasiliano piga simu 0787 110 117. email...
Hisense tv led backlight anyview ''inch 32'' this picture above is for reference only.
Mpya kabisa ndani ya box price yake ni laki sita Tsh ''600000'' maelewano yapo.
Contact 0713935738....au...
Wana JF, naomba msaada. Natafuta frem ya biashara ya kuuza nafaka popote pale ndani ya TZ ambapo biashara hiyo itanilipa. Naomba nijulishwe na bei yake.
farm no. 1058 AREA = 9536m2, kinafaa kwa maengesho ya magari au kujenga kituo cha mafuta bei ni 450m, kwa anayetaka tuwasiliane 0657 145555 au 0755 099 291
Kiwanja hiki nina ukubwa wa heka 2, kipo pembeni ya barabara ya morogoro kinafaa kwa matumizi ya kuengesha magari au kujenga kituo cha mafuta au kwa matumizi yote 2. kuegesha magari na kujenga...
Nyumba kubwa ya vyumba vitano iliyo katika hali nzuri inauzwa maeneo ya kijitonyama karibu na HEKO, just off the tarmac road! Nyumba hii iko katika neighborhood nzuri, iko fenced na ni karibu na...
Hi Tanzanians,
Please read through, this is very important and you will thank me for introducing you into this.
For those who dont know who Robert Kiyosaki is, he is an author to a book called...
Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach Makonde opposite na JK Nyerere International School
1. 400 square meters
2. Kina Title DID
3. Kina meter ya DAWASCO
4.DALALI HATAKIWI KABISA
BEI MILIONI 100 HADI...
Wana jamii habari nataka kuanzisha biashara ya kuuza Cement kwa anayejua bei ya cement kiwandani bei ya jumla,au kama kuna sehemu naweza pata kwa bei nzuri na mimi nije kupata angalao faida kidogo...
Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach Makonde opposite na JK Nyerere International School
1. 400 square meters
2. Kina Title DID
3. Kina meter ya DAWASCO
4.DALALI HATAKIWI KABISA
BEI MILIONI 100 HADI 85...
Nahitaji kujua studio amabayo naeza nika tumia kwa mdaa au for a while to make my music sio ku record, jus to make my beats...nilikua na studio witch was my uncles lakini i traveled 2 dar....if...
wanajamvi habari zenu?
Natafuta engine ya suzuki, old model Sierra 5 speed zile kama za mahakimu, kwa mwenye nayo naomba ani pm na bei yake na mahali alipo lakini ni vizuri zaidi kama ikipatikana...
Nyumba ya ukubwa wa room 3 sebule dining na choo cha ndani chumba kimoja ni master, ipo umbali wa km 4 toka mbezi mwisho upande kulia kama unatoka kimara bei milioni 28,000,000/= 0787 139327 or...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.