Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
samsung or htc na nina laki tatu na nusu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jipatie website iliyo kwa ubora zaidi kwa bei nafuu, pia jipatie ulinzi wa kutosha kwenye nyumba yako(cctv and surveilance) kwa maelezo. Email: crissalex1@live.com. Simu: 0719665022. Au 0688355306.
0 Reactions
1 Replies
312 Views
Wanajamvi wanaohitaji kiwanja habari ndio hii... Kuna kiwanja kinauzwa eneo la Mbweni Mpiji, Kinondoni chenye sqm 662 na Hati miliki. Eneo la 14, kiwanja na. 216, Kinauzwa 15M tu, Hakuna dalali...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Kwa mwenye Escudo iliyo katika hali nzuri tuwasiliane kwa namba O719 787879. Lazima iwe Arusha kwa ajili ya ukaguzi
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Salaam Wana Bodi. Sasa nipo kwenye kampuni flani hizi ya Ujenzi wa barabara huku pande za Songea, na kwa sasa hii kampuni ina shortage ya gari ndogo ka ajili ya Surveyors, sasa kama kuna mwanabodi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
sasa tuko hewani na kazi imeanza rasmi kwa maelezo zaidi tembelea website yetu laptopclinic.co.tz | We're up when your laptop is down
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Nikon Digital Camera Model COOLPIX 5200 na ina megapixel 5.1.Imetumika lakini ipo katika hali nzuri na inafanyakazi bila ya wasiwasi.Inayo battery na charger yake na bei ni Tshs 85,000 kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza Samsung Digital Camera model PL121 ambayo ipo karibu na upya kwasababu imetumika mara 2 tu kutokea upya wake.Haina tatizo lolote na inakuja na box yake pamoja na vifaa vyake vinavotakiwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza JVC Camcorder iliyotumika Model GR-D720E.Haina matatizo yoyote inafanya kazi kama kawaida.Camera hii imetumika kwahio inaangalika kama ilivo katika picha.Camera ina adapter yake na haina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
LCD TV 40" for only 1.4, 32" for only 800,000, new ipad 64GB, Wifi 3&4G for only 1.35. Sony Ericsson arc soon.
0 Reactions
0 Replies
642 Views
product za oriflame zinapatikana kwa wanaohitaji tuwasiliane ni nzuri sana kwa wanaozifahamu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ipo karibuna bara bara ya njia panda sigara (tcc club) na inatazama changombe road inafaa kwamatumizi ya ofisi, duka la chakula, duka la vifaa vya ujenzi, duka la dawa dukala vipodozi nk. bei ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza personal collection yangu ya novels. 1. The Tristan Betrayal- By Robert Ludlum 2. The Bourne Supremecy - By Robert Ludlum. 3. The Bourne Ultimutum - By Robert Ludlum. Bei kwa Kila moja ni...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
anaeuza xternal kuanzia 500GB na kuendelea kwa bei nzuri anitext memory ya Xternal na bei yake kwa namba 0784733899
0 Reactions
0 Replies
877 Views
M.I.C.L,wauzaji wa tracksuits za umri miezi mitatu mpaka miaka 20,kwa bei poa sana jumla na reja reja wanapatikana K/koo mtaa wa Agrey na Congo.Pia wanapokea order za sare za watoto wa shule.Kwa...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Nauza samsung digital camera model ES28 imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na inafanya kazi bila ya wasiwasi.Camera hii ina megapixel 12.2 lakini haina betri itabidi ununue betri.Bei yake...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza Digilife camera model DDVH9 na ina megapixel 16 ambayo itakuwa inatoa picha nzuri sana.Hii inatumika kwa kurikodi Video na Still picture na imetumika lakini ipo katika hali nzuri na inafanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani mwenye simu ya 3g touch screen nina hitaji ofa ninayo 150000
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nauza personal collection yangu ya novels. 1. The Tristan Betrayal- By Robert Ludlum 2. The Bourne Supremecy - By Robert Ludlum. 3. The Bourne Ultimutum - By Robert Ludlum. Bei kwa Kila moja ni...
0 Reactions
0 Replies
895 Views
kwa wakazi wa moshi na vitongoji vyake,ninafanya computer maintanance,any softawre installation,antivirus installation kama kaspersky internet security 2012,avg internet security 2012,eset...
0 Reactions
1 Replies
985 Views
Back
Top Bottom