Hello!
Microtelecomms Tanzania ni kampuni iliyosajiliwa inayojihusiaha na masuala ya Web
Designing, Web Registration, and Web Hosting technology ambapo yatafanikisha wewe/kampuni yako...
Siyo kama kweli ni sawa hasa kwa hili maana kila wamebinafsisha niende wapi mimi mzawa nilicho tegemea hakipo tena wakati huo haja tuonesha sehem ya kwenda kule tutafika tuwendako jaman kwa hali hiii
Kiwanja hicho kiwe maeneo yenye ardhi nzur yenye maji na access ya umeme, maeneo ya makazi ya kuishi, pls wasiliana nami , ningepenelea maeneo ya kule chini moshono, ngaramtoni au popote pazuri
Nasikitika kuwajulisha kuwa Ndugu Gervas Mkili hatunaye tena. Mkili alifariki jana Jumapili pale Hospital ya Muhimbili wakati akipatiwa matibabu ya Moyo, tatizo lililogundulika siku moja kabla ya...
ina vyumba 2 vya kulala, jiko na choo, iko ndani ya uzio , luku maji yapo compound unashirikiana na wenzako 2, gari haiingii ndani inakaa nyumba ya pili. bei Tsh, 250,000/= kwa mwezi. juu ina...
Naweza kupata wapi simu aina hii Huawei Ascend P1 na Huawei U 8860 honor kwa hapa Bongo,anayejua tafadhali anijuze,pia ningependa kujua na bei yake.Natanguliza shukrani
Take One ( Tanzania ) Limited tuna supply mayai sehemu mbalimbali kwa bei nafuu.
Tupo Mburahati/kagera Road karibu na kiyuo cha basi cha CCM.
Kuwasiliana piga 0714 25 53 51.
Karibu.
habari zenu JF
sisi ni private dealers ambao tunauza magari ya aina mbalimbali kwa bei nzuri. tunauza magari mapya na yal used yaliyo in a very good condition........ baathi ya magari ni kama...
Salam kwa wote! Nyumba mbili pamoja na kiwanja cha kutosha zipo MOSHI mjini Eneo la karanga, bara bara ya Moshi Arusha, mkabala na geti la Magereza la karanga Moshi. Kwa maelezo zaidi piga...
Jaman kwa wale wanaotaka kiwanja!!
Kipo Dodoma ndani ya manispaa maeneo ya makulu!!karb na reli
Kimepimwa doc zake zipo.
Maji yapo karbu kama nyumba 2...3 hivi ya kusogeza tu! Na umeme pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.