Wadau, naombeni mnisaidie natafuta chumba(master) na sebule ya kupanga, bei isizidi 150,000/=. Maeneo ya Sinza au Mwenge na kuwe na maji. Kama unamiliki au unamjua mtu anayemiliki au mpangaji...
TANZAZO Nyumba innauzwa shilingi Milioni 38 iko Ukonga Kupunguni B Moshi Bar , ni selfu ya vyumba vitatu
Kwa mawasilano piga simu
0715 634825 au 0755 634825
INAFAA KWA MATUMIZI YA OFISI, DUKA LA CHAKULA, VIFAA VYA UJENZI, DUKA LA DAWA NK
BEI NI TSHS. 80,000/= KWA MWEZI NA MKATABA NI WA MIEZI SITA SITA
FREMU INATAZAMA BARA BARA YA CHANGOMBE
WASILIANA...
nahitaji kiwanja cha kununua kati ya sh, million 3 mpaka 5..kiwe maeneo yenye maji na umeme na maeneo ya kuishi.....pls wasiliana na mimi 0658-000-569 nahitaji kiwanja hicho mapema.
Ndugu wadau , tunauza viwanja vya size mbali mbali kama 20 x 20 = 5mil , 40 x 20 = 10m , vipo eneo la wazo hill , madale . ni eneo la makazi mapya na miundo mbinu kama barabara , maji , umeme...
Nyumba ina kiwanja kikubwa cha kuongezea nyumba nyingine hata 3 inauzwa tabata, pesa ina hitajika haraka, milioni 187, tuwasiliane 0714981009 tufanye biashara hati ipo ukisharidhia unaweza kwedna...
Nauza Toyota Passo G, 2004, 1300cc, Red shiny Metallic,
Registration... T 331 BZK, New Music System with Big big booster, gari ina siku 46 tangia itoke Nagoya, Japan....
Bei..... 12...
MOVIES MPYA NA SERIES, kama , NIKITA COMPLETE SEASON 2, NIKITA COMPLETE SEASON 2, TRUE BLOOD COPLETE SEASON 4,MOVIES...SAFE HOUSE YA DANZEL ya Danzel Washngton, SAFE, MISSION IMPOSSIBLE GHOST...
ideos phones for sell (limited time offer), for just Tsh 150,000.
All phones are new.
Cover color of your choice.
Inbox me for more info., and for your order.
Kiwanja chenye urefu wa mita 30 na upana wa mita 22 kinauzwa.
Kipo Kivule jirani na Kanisa (RC) la Kigango,
Kipo Tambarare,
Majirani wanaendelea kujenga na wengine wameshahamia,
Kinatazama...
Jamani kwa yeyote anayejuwa natafuta isuzu journey kubwa iliyo kwenye hali nzuri aidha ni dala dala au sio waweza tuma meseji au piga simu 0754 646827 bei ya kununua itategemea hali ya gari na...
With one master bedroom, one bedroom, one toilet/bathroom and one sitting room cum dinning room as well ventilated kitchen and store with water (Dawasco) and Electricity (LUKU).
Is suitable for a...
Ipo ktk hali nzuri sana inatembea bei ni 3.5m ipo Dar kinondoni karibu na kanisa la biafra kwa yeyote atakayeta kuiona tuwasiliane kwa number 0766 787503,
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika.Camera hii itaambatana na...
Ofisi inapangishwa maeneo ya Namanga, Ali Hassan Mwinyi Rd, Floor ya juu, Ukubwa wa ofisi hii ni mita za mraba 200 lakinin inapangisjhwa kuanzia 50sqm na ina vitu vifuatavyo:
Back up Generator...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.