Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
kuna jamaa yangu mmoja anatafuta chumba kikubwa na kizuri cha kupanga maeneo ya Sanawari, Mianzini, Sakina na maeneo ambayo yapo karibu ya Arusha Technical college. Chumba hicho kiwe self...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina shahada ya BA(Ed).Natafuta kazi ya kufundisha Kifaransa kuanzia shule ya msingi mpaka colleges.Nina uzoefu kazini wa miaka 4.
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Heshima kwenu brothers and sisters, Polen sana na majukumu, inshort mi ni kijana wa kiume 25yrs of age, natafuta vijana wenzangu 2 na mimi wa tatu, wanaoanza safari yao ya maisha ili for...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani wanajamvi salama? Natafuta betri ya hp min laptop mwenye kuwa nayo naomba tufanye biashara. Au anaejua waliko mafundi wachakachuaji wa betri tafadhali nijulishe.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello Mwenye details za viwanja vya patikana mwanza...au shamba please tuwasiliane. Regards Buswelu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Make: Volvo, JUNE Mechanism: Hydrolic Location: Tabata, Matumbi. Manufactured: 1982 Condition: Iko kwenye hali nzuri, Inatumika na inauzwa. Arrived in Tanzania 2011 January. Bei: 35,000,000 Tshs...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Tunauza betri acid za jumla kwa bei nzuri tu, tena tunaweza kukuletea mpaka mlangoni kwako, haya maji ya betri, distilled water na coolant za kwenye magari. Maji ya betri yenye kiwango cha gravity...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF ninatafuta gari aina ya Pajero Jr (1.1 cc) kwa haraka. Tafadhali kama unalo au unazo taarifa muhimu kuhusu wapi naweza pata hili gari hasa Dar tafadhali nijulishe. Asante
0 Reactions
1 Replies
854 Views
anaepangisha au kujua anaepangisha ani pm
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ninaomba kama kuna mtu anajua kampuni inayouza hizi fensi za umeme anijuze natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Simu bado ni mpya kabsa kwa aliyetayari ani pm niko Dar
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Located at Kerege along Bagamoyo Road, a second village from BUNJU. There are three semi-developed homes on the plot and a 12 rooms foundation. It has a Title Deed (Certificate of occupancy)...
0 Reactions
1 Replies
991 Views
Nauza kiwanja changu mwenyewe kipo tegeta kwa Makamba kinafikika kwa urahisi ,hakina hati but kina offer.bei kuanzia 15m pungufu unaongea...ni pm kwa maelezo zaidi.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jamvi'natafuta chain ya silver iwe made in italy kama unayo ni PM bei pamoja na gram yake tufanye biashara.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wandugu namalizia mzigo kwa iphone 4 16Gb laki saba na nusu fasta na ipad 2 16Gb Wifi laki tisa na nusu tu. kama unataka nipim
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nauza engine 200tdi,gear box yake,diff(mbele na nyuma),body yake.Anayehitaji tuwasiliane.kaheshipaul@yahoo.co.uk or 0753875055
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Jamani kwa yeyote anayejuwa natafuta isuzu journey kubwa iliyo kwenye hali nzuri aidha ni dala dala au sio waweza tuma meseji au piga simu 0754 646827 bei ya kununua itategemea hali ya gari na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kwa bei 450,000 nimetumia miezi miwili GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 900 / 2100 Announced 2010, December Status Available. Released 2011, April BODY...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hlw kuna anyone can tel me where to get apple cider vinegar?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom