Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
mwenye hiyobidhaa ani pm nchi 22 flat screen used au mpya bei nzuri
0 Reactions
2 Replies
919 Views
Wandugu kuna frem ya biashara inapangishwa,iko Manzese inatazama Morogoro road.Kodi laki mbili kwa mwezi.Kwa mawasiliano piga 0756785420.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwe maeneo ya k'nyama, Sinza, Namanga, maduka mawili - Chang'ombe au Kinondoni. Ikiwa chumba na sebule itakua poa zaidi, na kikiwa kama master bedroom itakuwa safi zaidi. Nipeni msaada kwa 0774717033
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IOS 5 Factory unlocked 32 GB Price ni 400,000 negotiatable
1 Reactions
3 Replies
940 Views
My Nokia N81 imeharibika display,inawaka but haioneshi kitu...naomba kumpata fundi mzuri anaeweza kunisaidia kwa bei poa jamani...nipo Dar...naimiss sana simu yangu kwa intanet nzuri...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
DELL LATITUDE D610, RAM 512MB, HDD 40GB, PROCESSOR 1.7GHZ USED ILA HAINA TATIZO LOLOTE NA IPO KATIKA HALI NZURI, HAIKAI CHA CHAJI KTK BETRI LAKE MORE THAN 15min (PASI/DESKTOP) contact me: 0759950757
0 Reactions
2 Replies
1K Views
AM ALLY NI STUDENT WA UDSM NAUZA SIMU AINA YA BLACKBERRY TORCH ,CURVE NA NOKIA E63 KWA BEI POA .CM NI NZURIII SANA C MCHINA MY NO. 0652740304:evil::der:
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninahitaji simu mwenye nayo kwa 200000 ofa kwa watu wa dar
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Za asubuhi wadau, kwa mwenye sim niliyoitaja hapo juu naomba anipe uzuri wake. Nataka kuinunua, pia kwa hapa Moshi nitaipata kwa shilingi ngapi.
0 Reactions
17 Replies
6K Views
ipo katika hali nzuri sana. haijatumika kiviile. nzuri kwa musiq, video na kuifadhia data as external hdd inakaa na chaji kinoma 0759950757
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Ni ya mwaka wowote, iwe haijatumika nchini. kwa mnaoshuhurika na uuzaji wa used cars au waagizaji mnaweza kunisaidia katika hili. Please, ni PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NAtafuta DalalaI. 1. Nauza JCB Yina tatizo kidogo jino ya mbele dani ya gearbox yimekatika yinatebea kwakwenda mbela basi 2. Nina mtambo wakuwashea madini ya vito hata na alumasi niko...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Kaye sms ni kampuni inayouza mda wa hewani wa meseji (sms)<br>kama wewe ni mmiliki wa internet cafe au unafanya kazi internet cafe au yeyote yule na ungependa kufanya biashara nasi nafasi ndio...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iPhone 4S white, Factory Unlocked and 32GB Capacity, white color, used for 7weeks, with screen protectors back and front, leather case, USB Cable and Power Adapter (Apple), with earphones for...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
anayetaka I phone 3 gs ninazo 5 mpya Laki 4.5 used but new laki 3 pm me
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni ya5() imetumika kwa muda mfupi tu,ni mpya mpya.inahitm au ethernet wire.ina.iko na va vote,bei ni tsh 1000 tu.mawasiliano
0 Reactions
1 Replies
1K Views
inatafutwa nyumba yenye vyumba 2 au 3, sebule, jiko na choo cha ndani. iwe na kiwanja chenye nafasi ya kuingiza gari/ magari maeneo ya ubungo riverside, mabibo na mabibo external iwe karibu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hbr wakuu, Nimeombwa na ndugu yangu kumpositia taarifa hii. Anauza gari Mitsubishi Fuso ya mwaka 1994 model FK618J (Heavy load Vehicle - Tani 10). Ipokwenye hari nzuri but inahitaji service. Bei...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari aina ya Suzuki Carry zinauzwa, zipo pieces 10, zimeingia nchini kutokea Japan, zimelipiwa kila kitu mpaka registration, kuweka specification ya zote kwa mtindo wa moja moja ni ngumu Ila kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nicheki kwa 0759950757 au nkwama90@yahoo.com
0 Reactions
2 Replies
928 Views
Back
Top Bottom