Ninahitaji kiwanja morogoro au tanga
Naomba kiwe kikubwa kidogo size kama 35 kwa 40 au zaidi. Bei utaniambia lakin usisahau na size yake.
Kama unacho kidogo pia niPM.
PM ningependelea zaidi...
Natafuta fundi cherehani mwenye uwezo kushona nguo aina zote ikiwa ni pamoja na kudarizi
Anatafutwa ili ampatie mdogo wangu uzoefu baada ya kumaliza shule ya kushona.
Atanufaika kwa nini?
1...
Habari,
inatafutwa nyumba au vyumba kwa ajili ya kupanga,chumba cha kulala,sebule jiko na choo,maji ya uhakika na parking,maeneo ni sinza,survey,mwenge,makumbusho,kijitonyama na morroco,tafadhali...
Libeneke la Globu ya Jamii
MICHUZI
Home
View web version
Thursday, 24 May 2012
Hallow uncle,
Nimeokota vyeti vya Goima
Peter Mwamwingila na sijui
ntamfikishiaje huyu jamaa
maana hamna...
Kwa nini ukitaka kuanzisha kampuni ukisearch jina online kwenye website yao kama lipo au la hawakubali wanataka uandike barua wakae nayo 2 weeks kisha wakujibu kama jina lipo au la
why?
Kwa huduma ya kutolewa loki iphone, kuiJailbreak, ku update IOS mpya pamoja na kuitoa loki kabisa nitafute kwa pm. Kwa bei poa kabisa na tena nakufanyia kazi yako apo apo! :)
Zile Microscope(Jaico Binocullars) kwa ajili y amaabara zimeingia tena kutoka UK,kama kawaida ni dual power zinatumia umeme na zinakifaa cha solar (Included) kwenye Box lake,kama umeme umekatika...
Blackbery Pearl3G 9105,white with charger,screen guard,earphone and usb cable selling for 290000 tsh,if u have any good phone we can exchange also..0713677200
nauza battery original ya bb bold9700 kwa elfu 20 tu. Tuwasiliane kwa namba 0714881500. Nb. Battery nimeitumia kidogo sana kama back up battery wakati nasafiri.
wana jf, kiwanja chenye ukubwa wa sqmtr1200 na ushee, kina hati na kimepimwa katika mradi wa viwanja buyuni, karibu na chanika kinauzwa kwa sh milioni nane tu. Kwa maelezo zaidi piga simu namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.