Habari zenu wadau,
Nyumba Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja self,sebule jiko na public toilet,ipo ndani ya eneo la mita za mraba 400,maeneo ya zingiziwa,Chanika.
Bei ni milioni 15
Starbay Electrical Works Limited
Registered Electrical contractor (CRB) class 6
We deal with below
-Professional electrical installation for both domestic and industrial.
-Data cable...
Habari wakuu,
Nauza Petrol Generator ndogo 1kw, aina ya Boss. Generator limetumika miezi minne tu, nauza sababu load imeongezeka so nahitaji Generator yenye uwezo mkubwa zaidi.
Bei Tzs 200,000/=...
Habari wanna jf...
Kuna mtu anahitaji chumba cha kupanga mwanza mjini kama unacho au unafaham kinapopatikana naomba unijuze ila usiwe dalali
chumba kinachohitajika ni cha 30,000 kiwe katika hali...
Njia mojawapo ya kuongeza thamani ya nyumba yako ya uwekezaji ni kuifanyia ukarabati. Ongezeko la thamani ya nyumba kutokana na ukarabati wa nyumba hutegemea sana maarifa sahihi aliyonayo...
Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala sebule jiko na choo Cha public. Ipo kwenye fensi mazingira mazuri.
Ipo kwenye barabara ya mtaa, ipo Kigamboni darajani karibu na daraja la Nyerere.
Simu...
Nauza nyumba yangu iliyopo mkoani Morogoro. Mimi ndio mmiliki wa hiyo nyumba.
Ukubwa wa kiwanja ni 1500qm.
Nyumba ni ya ghorofa.
Vyumba vitano (vinne ni master bedroom)
Dinning na kitchen ni open...
Habari ndugu..!!
Karibu Katika kampuni pendwa ambayo imekuwa ikitoa huduma ya internet majumbani pamoja na offisini kwa bei Nafuu kabisa.
Ateb technology tunatoa internet yenye spend na kasi ya...
Nime upgrade mashine yangu katika upande wa processorr so mwenye uhitaji wa ku upgrade yake nauza hii i5-3570 bei ndogo tu 60000.
Kama unatumia moja ya processor kati ya hizo pichani basi ndo...
Habari za wakati huu wakurugenzi?
Wanahitajika Wauzaji wa Jumla wa bidhaa zifuatazo ambao wanauwezo wa kussuply mzigo wa thamni yoyote kwa bei ya Jumla.Iwapo unao uwezo wa kussuply kiasi hicho...
Habari za wakati huu;
Website Inauzwa.Ni website ya biashara ya affiliate/reseller Program.Ukinunua website utapata faida zifuatazo;
Utapata Domain name
Utaweza kuingiza kipato kwa kuuza bidhaa...
Samsung Galaxy A32 5G
Barely Used straight from South Korea
64GB
48 MP Primary Camera with 2160p Display
Single Simcard
6.5 Inch Display
4GB RAM
Long lasting battery- 5000Mah Battery
Price...
Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala sebule jiko na choo Cha public.ipo kwenye fensi mazingira mazur.
Ipo kwenye barabara ya mtaa, ipo Kigamboni darajani karibu na daraja la Nyerere. 0652180400
Habar za Kutwa wadau ...ashlic moving clinic ni kituo kinachotoa huduma ya aina zote za massage kwa ustadi mkubwa na weledi ......aina zinazotolewa n Swedish massage ...thai massage ....body to...
Bajaj ya mizigo inauzwa. Milioni 3 tu
kampuni wanhoo
Nzima na iko kijiweni mpaka sasa inapiga kazi
Eneo: Mwanza Ndama/igoma
Piga simu; 0713096076
Nje ya mada:
Chukua tahadhari, usitumie hasira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.