Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa mahitaji ya mashine za kusafisha maji kama kuondoa chumvi, magadi, iron harufu mbaya , kubalance PH ya maji , kuboost calcium na kuondoa chemical hatarishi kama arsenic acid wasiliana nasi...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wasalaam Sisi ni shule Y. Tunahitaji wataalamu wa kudesign vitambulisho ili tupate kuwaandalia wanafunzi wetu. Vigezo. 1. Viwe vigumu kama vile vya NIDA 2. Walao bei iwe nafuu Kwa Majadiliano...
1 Reactions
1 Replies
670 Views
SASSO WANA MIEZI MITATU NA WIKI MMOJA. WAPO 40 BEI 12,000/= WANAFAA KWA NYAMA NA KUFUGA BAGAMOYO ZINGA KWA MTORO CALL 0788682714
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Shukrani za pekee kwa wale wote waliokubali kuwa sehemu ya Wapendwa Message Centre. Pamoja na appointment kuwa nyingi ninayo furaha kupata feedback nzuri kutoka kwenu wateja wetu kwa huduma...
0 Reactions
28 Replies
11K Views
Please how can I get " The Royal Tour" full movie?
0 Reactions
9 Replies
576 Views
Nyumba Ina vyumba 4 vya kulala kimoja master jiko la ndani na nje, mabanda ya uwani mabanda ya Kuku,kisima Cha maji,na eneo la wazi,unaweza hata kujenga nyumba nyingine, karibu Kwa mazungumzo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni mpya kabisaaa na shidaa sanaa ya pesa ni laki 1 na nusu pungufu unaongea
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari. Kwa yeyote anaeuza au anajua wapi naweza pata oven inayotumia gesi yenye uwezo wa kubeba mikate 90 ile tunayosema gram 500. Note: iwe used. Iwe Dar Pwani au Morogoro Call/Whatsapp 0652494919
0 Reactions
2 Replies
636 Views
Anayetaka kujifunza Sub-tittles ili afanye kazi zake au kuuza kama ujuzi kupitia Freelancing. Nafundisha uso kwa uso hapo hapo mpaka unaelewa Nafundisha kwa 20,000 tu ndani ya siku moja...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Natafuta gari aina ya Vits napatikana Dodoma bei mil 3 Nichek what'sup 0758214251.Asante Note: gari iwepo dodoma na bei nilioweka ni fixed haipandi haishuki .
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni Nikon D5300 (Used) ambayo utapewa ikiwa na lens 2 Lens ya 18-55mm pamoja na Lens ya 50mm MANUAL PRIME LENS Lakini pia utepewa na STAND nzuri BURE kabisa ambayo Dukani huuzwa kwa 150,000/=...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Je, umeomba adsense umenyimwa au una blog ya Kiswahili unahitaji ads? Basi hapa umefika tunakusetia matangazo ya admob yanasoma kwenye site / blog na yanaonekana vizuri tu na unapiga mpunga kama...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Friji ni kubwa linagandisha vizuri bei 200k Mahali goba
1 Reactions
5 Replies
586 Views
Hii hapa showcase kubwa futi 7 pia unaweza tumia kama kabati ninaiuza bei ya kutupa 280k Mahali Goba Mawasiliano 0745053417
1 Reactions
20 Replies
2K Views
𝗡𝗶 𝘄𝗮𝗸𝗮𝘁𝗶 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗺𝗶𝗹𝗶𝗸𝗶 𝗘𝘅𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 𝗸𝗲𝘆𝗯𝗼𝗮𝗿𝗱 𝘀𝗮𝘀𝗮 Kuwa na keyboard ya nje Kuna wakati inakupa uzoefu Bora wa kuandika au kutumia kuliko ile iliyopo kwenye laptop yako ( built-in keyboard). Unajua...
1 Reactions
3 Replies
556 Views
Ambaye anaweza kudesign lebel tuwasiliane, ningependa kufahamu gharama pia.. Tuwasiliane Hata PM
0 Reactions
1 Replies
310 Views
Napenda kuulizia Bei ya Canon ir2520 kwa mkoa wa mwanza au kahama.
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Kwa walimu anayehitaji kuja Manispaa ya Morogoro na mimi niende Dar - wilaya ya Ubungo au Kinondoni nitafute kwa namba 0765101554
2 Reactions
2 Replies
413 Views
Shamba lipo Dar Akitoka Kanda ya Ziwa itakuwa poa. Sifa: Anaejitambua. Asiwe na Mume labda Mtoto 1 Awe Hajasoma sana,Std 7 Awe tayari kupima Afya Kazi Yake; Kupikia Wafanyakazi wa Shamba Kuhudumia...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Ndugu habari.. !! Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba mikoani... Nina bidhaa za nguo za jeans suruali, t-shirt ,na pia trak juu na chini.. (GRADE A) bei nafuu tu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom