Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Bei: 220000/= piga Simu, 0653499987 Hali: haijawahi kufunguliwa na mafundi,full boxed, Location: Dar es salaam
0 Reactions
1 Replies
400 Views
Laptop inauzwa.... Type:Lenovo Ram:4GB Processor:2.1ghz dual core HDD:300GB Price:230,000/- Battery:3hours Contacts:0759-124378 Nipo mbezi ya kimara
0 Reactions
1 Replies
555 Views
Habari wakuu Kwa wakazi wa DAR ES SALAAM. Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10. Delivery free mpaka kwa mteja. Malipo. mpaka mzigo unapofika kwa mteja Bei ni 7000 kwa kilo...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
nauza simu yangu kwa Tsh 400,000 128Gb battery health 100% fingerprint [emoji736] ipo mabibo dsm tazama picha chini
0 Reactions
0 Replies
500 Views
Karibuni wadau Tupo kariakoo Aggrey street Piga 0673206639
0 Reactions
5 Replies
431 Views
Wakuu mmebarikiwa sana na Mwenyezi Mungu. Nimeokota sarafu yenye tundu KATIKATI imeandikwa EAST AFRICA & UGANDA PROTECTORATES ( ONE CENT ) SHIDA YANGU JE HII KITU INA THAMANI YOYOTE KWASASA MAANA...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu katika jitihada za kusaka tonge nimeona nijaribu hii biashara ya Massage . JF kama nyumbani nimeona niwasogezee huduma hii pia. Tunatoa huduma za massage za aina mbalimbali kama full body...
4 Reactions
143 Replies
24K Views
Hekari 27 Limepimwa na lina hatimiki Bei 180mln
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wadau, sasa tunawaletea brand mpya ya matairi ya yokohama na luxman baada ya kuuza sana matairi ya bridgestone. Yokohama ni matairi imara na origino kutoka japan. Tunauza kwa bei...
5 Reactions
560 Replies
127K Views
Habari Kwa majina naitwa msafiri juma ni mtengenezaji wa mifumo mablimbali ya computer Leo hii nawalea mfumo wa dukani amabou unaweza kutumika popote bila shida Unafanida nying saana kwa...
1 Reactions
4 Replies
788 Views
Habari. Kama unaitaji pikipiki used za aina yoyote na kwa Bei unayoitaka tutakupatia tunapikipiki za aina zote. Tembelea Instagram @saantz_pikipiki_used Tupigie simu namba 0684998047 tukuhudumie...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana Jf Fridge Von linauzwa Bei: Tshs 450,000/= Lipo Gongo la mboto Lina mwaka mmoja tangu lilinunuliwe Halijawahi kutengenezwa wala kujazwa gesi 0689 150 968 0625 557 395
0 Reactions
1 Replies
387 Views
Nawaomba ndugu kwa mara nyingine baada kukosa mwanzo Kwa nwenye PASI, JAGI ZA UMEME, BLENDER, heater na vifa vingine pia mfano wake mbovu natengeneza , nakufata hadi unapoishi bei haipungui...
1 Reactions
3 Replies
837 Views
Habari wadau. Nani anajua vizuri hizi airpods pro copy. Naona kila anaeuza zake zina utofauti tofauti. Sasa nashindwa kujua ipi ni bora kwa sasa. Naombeni ushauri wenu
1 Reactions
10 Replies
2K Views
SUZUKI SWIFT full doc'ments Vibal Gari haigongi Loc:Dar Bei mil: 3.5 Simu - 0678604333
0 Reactions
4 Replies
977 Views
Nyumba Ina vyumba 4 vya kulala kimoja master jiko la ndani na nje, mabanda ya uwani mabanda ya Kuku,kisima Cha maji,na eneo la wazi,unaweza hata kujenga nyumba nyingine, karibu Kwa mazungumzo...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari Zenu Wakuu. Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye uzoefu wa miaka mitano(5) kwenye kupika na Ninaeamini Kwenye kufanya kazi kwa bidii na Pia kutekeleza Jukumu unalopewa kwa wakati Sahihi...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wakuu nahama nauza vifuatavyo Godoro inch 8 bei 140,000/- Jiko dogo la gesi ( linagesi ilijazwa wiki moja iliyopita) 25,000/- Feni 60Watts bei 25,000/- Tray ya vyombo ngazi nne bei 10,000/-...
2 Reactions
5 Replies
716 Views
Fekoni 150cc timing chain, Haina tatizo lolote ,Unawasha na kuondoka Matunzo mazuriiiii Vibali vyote vipo Safi Bei 1.1m 0658971481 Morogoro mjini
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba Ipo kigamboni geza. Kiwanja KIMEPIMWA na kina documents zote muhimu. kina sqm 542. Umbali kutoka barabara kuu ni mita 700 tu.. simu 0652180400
0 Reactions
3 Replies
479 Views
Back
Top Bottom