Wapendwa wana Jamvi,
Sisi ni mabingwa wale wale wa kuuza viwanja, na mashamba.
Viwanja na mashamba tunayo miliki wenyewe..hivyo biashara yetu haijawahi kuwa ya ubabaishaji (Mashahidi wapo humu...
Habarini wadau kama mada inavyojieleza hapo juu. Natafuta chainsaw used.
1.Aina ni HUSGVARNA(272) 2.20 Inches
Kwa mtu aliyetayari naomba tuwasiliane
NB.
Iwe kwenye hali nzuri isiwe imechoka.
Sio kila kiwanja kinaweza kukutengezea fedha. Sio kila nyumba ya kupangisha inaweza kukutengezea kipato kikubwa na kipato endelevu kwa kila mwaka. Kwa sababu hii, unahitaji kufanya tathmini kabla...
Kwa sasa inakadiriwa kuwa na idadi kubwa saana ya makampini ya ulinzi tanzania, imezoeleka kuona makampuni mengi hapa nchini yakifanya biashara hali ya kuwa yalitakiwa kutoa huduma kwa wanachi...
Jamani mwenye Zilipendwa origino kati ya miaka 1975-1995 naomba awasiliane nami kwa PM.
Hususan natafuta Nuta.Juwata/Ottu, Mlimani Park, Vijana Jazz, Marquis, Mzee Makassy, OSS, Kyauri Voice...
Unaitaji nguo za kike za ndani kwa bei ya jumla,
Unaitaji sendozi za kike na kiume,karibu tuchangiane maisha yaendelee ata usifika ofisini mzigo utakufuata ulipo hapo hapo kikubwa hela[emoji16]...
Salaam wakuu,
Nauza gari aina ya Pajero GDI.
Ya mwaka 2002.
Rangi ni nyeusi.
Namba B.
Cc 1500.
Bei 5 million.
Gari ni yangu mimi mwenyewe na haina tatizo lolote.
Karibuni.
Jipatie kitanda Cha kukunja(camping bed) kwa matumizi mbali mbali ikiwemo kutumia nyumbani, kutumia ukiwa camp nk.
Condition: used
Open size:193x78x34cm
Folden size: 91X78X15cm
Price:200,000/=...
Nyumba inauzwa
Mahali: Goba(Lilian kibo) karibu na njia nne,
Nyumba ipo barabaran kabisa.
*Vyumba sita,
*Hati miliki,
*Umeme upo
*Maji yapo
*Bei 60millions
N.b
Maelewano yapo
Mhusika ni mimi...
Bado ipo clean kama mpya haijatumika muda mrefu iko kwenye condition nzuri
Inashoot movie
Memory 8GB
Mkanda
Charger
Lens 18 - 55
Bei 650000/= maelewano pia yapo
Nipo Mombasa Ukonga
1. Safari ya Bulicheka.
2. Tajiri wa Babeli.
Nicheki whatsapp.
Vingine vingi.
Kwa Tsh 2,000 hadi 4,000 utapata softcopies, za vitabu hivi. Tunakutumia kwa whatsapp. 0715278384 Pia kuna bonasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.