Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wapendwa wana Jamvi, Sisi ni mabingwa wale wale wa kuuza viwanja, na mashamba. Viwanja na mashamba tunayo miliki wenyewe..hivyo biashara yetu haijawahi kuwa ya ubabaishaji (Mashahidi wapo humu...
0 Reactions
0 Replies
447 Views
ok ngojaa tukuchekie mkuu
0 Reactions
101 Replies
32K Views
Habarini wadau kama mada inavyojieleza hapo juu. Natafuta chainsaw used. 1.Aina ni HUSGVARNA(272) 2.20 Inches Kwa mtu aliyetayari naomba tuwasiliane NB. Iwe kwenye hali nzuri isiwe imechoka.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Sio kila kiwanja kinaweza kukutengezea fedha. Sio kila nyumba ya kupangisha inaweza kukutengezea kipato kikubwa na kipato endelevu kwa kila mwaka. Kwa sababu hii, unahitaji kufanya tathmini kabla...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa sasa inakadiriwa kuwa na idadi kubwa saana ya makampini ya ulinzi tanzania, imezoeleka kuona makampuni mengi hapa nchini yakifanya biashara hali ya kuwa yalitakiwa kutoa huduma kwa wanachi...
0 Reactions
2 Replies
526 Views
Ram4 Hardidisk 500gb Processor 2.50ghz Corei5, Charge 4 hours Bei 350k
0 Reactions
0 Replies
497 Views
Jamani wakuu naomba mwenye kujua zinakouzwa sindano hizi tuwasiliane ni sindano za kishonea makapeti. Nipo Korogwe Tanga
0 Reactions
3 Replies
561 Views
Jamani mwenye Zilipendwa origino kati ya miaka 1975-1995 naomba awasiliane nami kwa PM. Hususan natafuta Nuta.Juwata/Ottu, Mlimani Park, Vijana Jazz, Marquis, Mzee Makassy, OSS, Kyauri Voice...
1 Reactions
33 Replies
15K Views
Mahali: Kinyerezi Dar es salaam Idadi: Watatu (3) Bei: laki mbili kwa wote (200000) Karibu pm
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu habarini, kama kuna mtu yoyote anafahamu massage iliyopo hapa tanga naomba anielekeze
0 Reactions
23 Replies
17K Views
Unaitaji nguo za kike za ndani kwa bei ya jumla, Unaitaji sendozi za kike na kiume,karibu tuchangiane maisha yaendelee ata usifika ofisini mzigo utakufuata ulipo hapo hapo kikubwa hela[emoji16]...
0 Reactions
0 Replies
261 Views
Salaam wakuu, Nauza gari aina ya Pajero GDI. Ya mwaka 2002. Rangi ni nyeusi. Namba B. Cc 1500. Bei 5 million. Gari ni yangu mimi mwenyewe na haina tatizo lolote. Karibuni.
1 Reactions
9 Replies
965 Views
Bajaj ya abiria aina ya Tvs. Haina shida yoyote njoo na fundi kagua, lipa anza kuswampa Bei elekezi 1,500,000 0713096076 tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
526 Views
wadau,mwenye pikipiki tajwa hapo juu,na ambae yuko tayari kuuza,hata kama ilibadilishwa engine anicheki hapa 0784356521.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jipatie kitanda Cha kukunja(camping bed) kwa matumizi mbali mbali ikiwemo kutumia nyumbani, kutumia ukiwa camp nk. Condition: used Open size:193x78x34cm Folden size: 91X78X15cm Price:200,000/=...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Mmoja mkubwa wawili wa wastani Wapo Kinyerezi Dar es salaam Kwa anayehitaji karibu PM
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Bango tayari
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Nyumba inauzwa Mahali: Goba(Lilian kibo) karibu na njia nne, Nyumba ipo barabaran kabisa. *Vyumba sita, *Hati miliki, *Umeme upo *Maji yapo *Bei 60millions N.b Maelewano yapo Mhusika ni mimi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Bado ipo clean kama mpya haijatumika muda mrefu iko kwenye condition nzuri Inashoot movie Memory 8GB Mkanda Charger Lens 18 - 55 Bei 650000/= maelewano pia yapo Nipo Mombasa Ukonga
0 Reactions
0 Replies
339 Views
1. Safari ya Bulicheka. 2. Tajiri wa Babeli. Nicheki whatsapp. Vingine vingi. Kwa Tsh 2,000 hadi 4,000 utapata softcopies, za vitabu hivi. Tunakutumia kwa whatsapp. 0715278384 Pia kuna bonasi ya...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom