Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
T.v ni ya nchi 24, na redio kubwa na spika zake pamoja na deki bei ninelf 70 tu. Unapeleka kwa fundi inasafishwa tu unstumia Ipo pugu kona 0719794789
0 Reactions
1 Replies
499 Views
HABARI KAMA SIMU YAKO INA SHIDA YA SOFTWARE, Mfano kwenye ; APPLICATION MESSAGE STORAGE (Simu imejaa) CALLS NOTIFICATION USIZOZIELEWA NA ZINATOKEA KILA MARA KUTUNZA FILE ZOTE GOOGLE ILI...
0 Reactions
4 Replies
661 Views
SAN LG 125 GIA 5 IPO MWANZA IGOMA HAINA SHIDA YOYOTE MILIONI 1 TU 0713096076
0 Reactions
0 Replies
437 Views
Wakuu nahitaji website au blog yenye matangazo ya Google Adsense yakiwa hayana shida yeyote, kwa aliyenayo naomba tuwasiliane Njoo WhatsApp http://wa.link/c951p8
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu mtanzania mwenzangu, tumeanza kuzalisha viatu vya ngozi halisi kwa matumizi mbalimbali. kuanzia viatu vya watoto vya shule na matumizi mbalimbali, vya kiume (Safety boot, army boot...
6 Reactions
79 Replies
56K Views
Wadau salaama! Nahitaji huduma ya mwanasheria(advocate) kwaajili ya kuthibitisha(certify) vyeti vyangu na baadhi ya documents. Awe maeneo ya Bunju au karibu na huko. Nicheck inbox kama una any leads.
0 Reactions
6 Replies
935 Views
Miliki gari kwa mkopo mpaka wa milioni 60(60,000,000tsh) ...inatakiwa uwe na uwezo wa kulipia angalau 60% ya gari unalotaka.. Tupigie 0744551655 kwa maelezo zaidi au fika magomeni mikumi kuona...
1 Reactions
3 Replies
573 Views
Wadau wasalaam! Nataka kuanza kilimo kikubwa maeneo ya kisaki, morogoro. Natafuta shamba la kununua eka 50 mpaka 200. Naomba offer au ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu wa eneo hili. Asanteni.
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Natanguliza shukrani wakuu, natafuta sana hiki kiatu kikiwa kipya kwa hapa DSM, wapi naweza pata, naona kwenye maduka mengi wanauza vile vya mchina vile(copy/fake). Mara ya mwisho nilibahatisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu, Ninahitaji mbao za mkongo au mninga, napatikana Dar lakini sihitaji kununua Dar kwa kuwa gharama ni kubwa. Nimeambiwa mninga unapatikana zaidi Tabora na Mkongo unapatikana zaidi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kila nikifikiria jinsi madalali wanavyotupiga kwenye viwanja, basi hutamani siku moja ije sheria iwe anaetaka kuuza kiwanja aende kwa wakili aliyesajiliwa. Ila ikiwekwa sheria hii itawaumbua sana...
2 Reactions
15 Replies
820 Views
Habari nauza mashine hiyo hapo. Kwa ajili ya kutengeneza lambalamba ni ya kubeba na kuanza kazi inauwezo wa kubeba tray moja ya pieces 40 na mzigo unaganda baada ya dakika 15. Uzuri wa hii...
4 Reactions
35 Replies
6K Views
*TOYOTA IST YEAR OF MANU 2005 ENGINE CC 1290 REG NUMBER #DHJ *PRICE 8.7M * IKO VIZUR IWAHI[emoji91] 0719921552 call Mimi ndiye mmiliki ,Nimefulia sana Nahitaji Hela
0 Reactions
2 Replies
601 Views
Kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na shinikizo la damu na kisukari tunauza mashine ambazo utaweza kuzitumia kupima mara kwa mara na kujua maendeleo yako. Mashine ya sukari ina strips 25 za kuanzia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nilikuwa natafuta mtu/kampuni inayosupply karatasi zile za kaki zinafanana na mfuko wa karatasi au bahasha. Wapi zinapatikana au mwenye mawasiliano msaada tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SUZUKI ESCUDO EXCHANGE ALLOWED ENGINE:G16A ENGINE CAPACITY:1590CC IPO:MWANZA NYAKATO BEI:MILLION 4.8 CALL/SMS:0754405179 NB:GARI YAKWANGU MWENYEWE
1 Reactions
4 Replies
771 Views
Nakuja kwenu wana wa JF,naomba msaada wenu,kuna kijana anaitwa KAIGI ERASTO LUKAGURA,anatafuta baba yake mzazi ambae amepoteana nae tangu akiwa mdogo,baba alihamishwa kikazi kutoka old shinyanga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Tunauza kuku aina ya chotara wenye kilo 5 na kuendelea tupo pwani mkuranga,Bei ya jumla kuanzia 18000.majogoo na majike 15000.wapo 300.karibuni Sana,mawasiliano,0789881466 na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja kipo sehemu sehemu nzuri panaitwa MJIMWEMA ukubwa ni Sq 800,ni sehemu Safi karibu na CHUO Cha biashara(T I A) mawasiliano
1 Reactions
5 Replies
885 Views
Nahitaji Examination Gloves, MRDT Na HIV kits na vifaa vingine vya maabara. Kwa bei ya jumla. 0785416449.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom