*Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25, naishi dar es salamm Bado sijaoa.
Dhumuni la kuja hapa jukwaani mbele yenu leo hii ni kuomba msaada wa kuujua Uchawi/Nguvu za kiroho ziliyo na matokeo ya wazi...
Habari zenu watanzania,
Kwa wakazi wa Kigamboni natoa huduma ya kunyoa majumbani au popote anapohitaji mteja naweza kuja kukuhudumia
Kwa viwango na ubora wa Hali ya juu
Call:0784440627
Info:
kiwanja kipo Igoma, mtaa wa Kilimo A.
0713096076
Umeme upo karibu na Beacon
Size ni hatua 35 kwa 25 za mtu mzima (sijapima Kwa mita tafadhali)
Beacon zimewekwa na kishapimwa zamani sana...
Eneo lenye Pagale Mbili Linauzwa
Eneo Lipo Boma Ng'ombe kwa Wasomali.KM 1 kutoka barabara kuu ya Moshi Arusha.
Eneo lina Pagale Mbili Moja Self ya Vyumba 3 na NYingine in ni Double yenye Master...
Wakuu nataka kununua mashine ya cherehani ya kushona ya miguu Na mashine ya overlock....nikauliza duka moja Arusha wakanambia wapo Na za India kwamba ni nzuri...kwasababu mi si mtaalamu mafundi...
Nahitaji mfugaji anayeweza kuzalisha mayai zaidi ya trei 100 kwa wiki.
Nanunua trei 100 kila wiki.
Bei isizidi 6000/= kwa trei moja.
Mawasiliano:call/whatsapp 0674574112.
Email...
Naam!
Kuna wakati ulishafikia hatua ukaona laptop yako ni nzito? Sio Ram tu inaweza pelekea laptop yako kuwa faster! Hata Hard disk (HDD) inapelekea laptop yako kuwa nzito pia, Kuna hii kitu...
Je umeshawahi kujiuliza ni kivipi wateja walio mali na duka lako wanaweza kupata bidhaa zako ?
Dunia ya sasa imeamia kiganjani. wateja wako hawana haja ya kuja dukani kwako tena. weka duka lako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.