nimekuwa nikiangalia Scoan and emanuel Tv for a long time, nimetokea kupenda na kuwaamini....jamani, nani anaelewa hapa tz naweza kupata wapi anoiting water and wrist band from TB joshua...
Property and Real Estate Tanzania Offers accommodation for rent
In Mbezi Beach close to Tangi Bovu.
Three bedrooms (one en suite),
Sitting, dinning, kitchen, maid's room en suite, open...
Hellow wanaJF
Wandugu jamani ninaombeni msaada wenu najua hapa kuna watu wa kila aina,mafundi,engineers, doctors etc. Kwa mtu yoyote atakayekua anahitaji Vifaa kwa engine aina ya 1AZ ambayo...
Nauza Iphone 3Gs. Original From USA. Tuwasiliane kupitia Inbox humu ndani. Nitakuwepo Dar Mwezi ujao.
Simu nimeitumia kidogo, ila haina Mkwaruzo hata kidogo. yaani inaonekana mpya kabisa. Ina...
Hivi wadau,nimekuwa nikifikiria kuanza kununua bidhaa kama nyumba,viwanja,magari au pikipiki kwenye minada ya hadhara. Sasa najiuliza,italipa?Naweza kupata vitu kwa bei nafuu kwenye minada then...
Heshima kweni wakuu najua hapa kutakuwa na watu wana maduka ya spare part za magari pls. natafuta site mirror na power window za verossa. kama unazo nifahamishe waungwana pamoja na bei zake
Wandugu nahitaji vyumba viwili na sebule iwe masters ktk maeneo hayo hap[o juu,na ikiwa na kajiko itapendeza zaidi.bei isizidi 200,000/= kwa mwezi.hata kama unajua ambayo itakuwepo baada ya mwezi...
Kiwanja chenye ukubwa wa 40x40 kinauzwa Mbezi Madukani nyuma ya shule ya St Anne. Bei ni Milioni 15. Mtu wa kati hatakiwi. Mwenye shida kweli apige 0754 340606.
JE UMECHOSHWA NA HALI YA SASA YA MGAO WA UMEME?
JE, VIPI KUHUSU BEI YA MAFUTA KUPANDA, HAIKUUMIZI? NA
JE, VIPI KUHUSU ATHARI ZA MSHUMAA, HUZIOGOPI?
KAMA MAJIBU YAKO KWA MASWALI HAYO HAPO JUU NI...
Shamba lenye ukubwa wa heka 160,linauzwa liko Tengeru Arusha km 8 toka mainroad ya Arusha-Moshi lina lease ya miaka 99,unaweza nunua lote au kwa kipande kisichopungua heka 40.Linafaa kwa kujenga...
HOUSE FOR SALE, IT'S LOCATED AT MBAGARA, MAJI MATITU-MZAMBARAUNI, DAR ES SALAAM. THE HOUSE IS NEW, IT HAS 3 BEDROOMS INCLUDING ONE MASTER BEDROOM, 3 SITTING ROOMS, FULL TILED, ELECTRICITY AND...
Ninahitaji nyumba ya kupanga mitaa ya MIKOCHENI,KINONDONI,KIJITONYAMA au hata SINZA.
Nahitaji chumba kimoja au viwili vya kulala self contained,jiko na sitting room.kama itakuwa na sehemu ya...
Ndugu wana JF, natumai hamjambo!
Naomba mnisaidie wapi naweza kupata miti ya matunda yafuatayo? Nahitaji angalau miti miwili katika kila aina.
Nahitaji mnisaidie kunielekeza nitakapozipata...
jiko la gas lenye plate mbili na system ya kutolea hewa nje ni set,linauzwa.kwa watu ambao wapo interested piga 0659 158365, au email abapamas@gmail.com
bei ni laki 5 T shilings.
Wakuu,
nliwatangazia ishu ya kiwanja cha eka kumi na tano maeneo ya mpakani,vinapakana na barabara kuu ya lami,umeme upo ,maji yanapatikana yakichimbwa.
Bei isiyokukwaza kabisaa na picha zipo...
wakuu heshima mbele
nilifanikiwa kupata mbwa jike bado kigoli kabisa shukurani ziwaendee MKUU NGULI JABALI, PARACHICHI na wengine weengi natafuta jina la kumpa cjapenda nilomkuta nalo anaitwa VAN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.