Wadau naomba mnisaidie modem ya kampuni ipi itanifaa ..zantel,sasatel,vodacom etc na iwe bora bt gharama nafuu kuimanage...nipen mawazo kesho nikachukue .
Salaam wa wanaukumbi
naomba kujulishwa kama hapa dar es salaam kama kuna flat zinauzwa kwa njia ya malipo ya instlament yaani kama kuna mjenzi anajenga jengo la ghorofa kumi na zaidi na huwa...
Habari hii nimetumiwa. Baada ya kuiusoma nikaona ni vema niilete hapa ili wana jamii muine what next to do. Mie nimefanya part yangu. I do not knwo the baby lakini imenigusa ku save life.
CONTACTS...
Wadau,
Hivi karibuni nimekubwa na usumbufu wa panya. Wanatoboa madirisha na kuingia ndani nyakati za usiku. Nimejitahidi kupambana, ila nimeona paka atakuwa suluhisho la kuaminika. Nikiweka...
Wadau,
Gali hili linauzwa; lina hali nzuri bei ni milioni 32 negotiable
Driving: LHD
Manufactured: 2002
Engine capacity: 3500 Turbo
Call: 0787 377511/ 0719 055711/ 0768 264320
Nimehangaika vya kutosha,natafuta mshine aina ya noritsu 2611 na developing yake kwa ajili ya kuoshea picha,pia kama itakuwa na digital carrier yake,
naombeni mnisaidie
Gari Inauzwa bei nzuri. Wasiliana na 0756 769741
Mitsubishi dingo
Price - Tshs 5.5m
Air Conditioning, Airbag, Power Window, Power Steering, Power Mirror,
AntiLock Brakes, Central Locking...
nauza gari TOYOTA IPSUM . IMETEMBEA KM 93,500. RANGI YA SILVER. IPO OK HAINA SHIDA ,IMELIPIWA BIMA COMPREHENSIVE MPAKA 2011 MWEZI WA TISA.ina uwezo wa kuchukua abiria saba mpaka nane. bei ni...
VIWANJA VIKO MBEZI LUIS KILOMETA TATU NA NUSU TU KUTOKA MOROGORO ROAD UPANDE WA KULIA UKITOKEA UBUNGO. BEI 30X22 2.5MILIONI, 25X22 2MILIONI NA 22X20
1.5MILIONI.
(kwa taarifa zaidi piga: 0715 055...
Hello JF members!
Na wale wasomaji !
Kuna uzushi mwingi hasa katika hii tasnia ya Utabiri...mara hivi mara vile!
Sijui shaka zao ni nini? Kuliko kuponda usichokijua bora ukae kimya bana!!
Natafuta sehemu ambayo nitaweka mashine ya kusaga mahindi. Iwe jirani na barabara. Maeneo ya ubungo, Kimara ama Tabata. Kwa anayejua au mwenye kaeneo tujulishane. Hata kama ni kununua ama kukodi...
kuna ndugu anauza eneo lake lipo mbezi malamba mawili ,halijapimwa ,lna ukubwa wa m42'20' 25'25' 20; ni pembe tano fulani hivi ,ni asset bomba kwani eneo hili linakuwa kwa kasi! bei M 5 tu...
Big Beautiful House is available for rent immediately. The house is Ideal for Office Purposes e.g. NGO's, Financial Institution, or Private Company. It has 5 rooms and A servant quarters. It is on...
I have a brand new Dell latitude E6400 for sale
Specs:
1GB of RAM, integrated graphics, Intel Core 2 Duo processor ( P8400 2.26GHz, 3M L2 Cache), a DVD player/CD-RW combo drive, 80GB hard drive...
Kwa wale waliosoma MKWESE SEKONDARI.....nimepata taarifa za msiba wa MZEE MGHUYAA uliotokea siku ya KRISMAS
Mzee wetu alikuwa ni mtumishi wa shule hii kwa kipindi kirefu....wengi tuliopita pale...
Wakuu wenzangu wote wa Jamii forums hususan hii Thread ya Matangazo Madogo Madogo ,nawaombeni Ushauri wenu nataka kufanya Biashara ya kuleta Gari la aina ya ( Toyota
Camry) toka Ughaibuni kuja...