Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Hi, nina cresta reg AWY ipo kwenye hali nzuri naiuza 7.2m millage 120000 model 1998 rangi ni cream (palewhite) ina alloy rims DVD radio, kama upo interested nipigie/nitext 0786 66 67 67.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
katika blog yangu mpya... roselyne26.blogspot.com Asante!:A S tongue::fish2:
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tafadhali .Naomba msaada kwenye mambo ya fuatayo kuhusu Design ya Gazeti(Tabloid) 1 jinsi ya kuset vipimo vya gazeti(Tabloid) la kurasa kumi na sita 2.jinsi ya kuseti center pages. 3. jinsi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenye Gari DCM TOYOTA(GOBOLE) ambalo ninatatembea au limesimama na bodi yake iwe haijachomwa bei 8M nataka kuanza biashara mbagala mwenge. au hata kama linatembea lipo barabarani, KWa upande wa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
nyumba ni self contained vyumba 3 vya kulala, jiko na sebule sh. 9mil inaweza kupungua ipo mbezi juu karibu na baraza la mitihani ukitaka kuiona wasiliana na namba 0756626298.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Chumba kimoja kwenye nyumba ya vyumba sita vya wapangaji kinapangishwa eneo la sinza Block C walking distance toka Chuo Kikuu cha Da res salaam. Kodi ni shilingi za Tanzania hamsini elfu kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari za leo; Jana niliweka post kwamba tunahitaji msichana kufanya kazi za secretarial, nashukuru kwa maoni ya wadau kadhaa tumefanikiwa kumpata mtu. Kampuni yetu ni ndogo na ni mpya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF naomba kuelimishwa kidogo kuhusu bei ya magari katika mtandao wa Tradecar view kabla sijamnunulia dada/shemeji yenu, katika pitapita yangu ndani ya mtandao kuna kitu kimenishangaza sana...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mambo vipi humu ndani? Wanajamii mwenzenu nataka kununua gari 4WD, ammbayo ni Landrover discovery, please naomba kwa wenye uelewa mnisaidie kuchambua ni aina gani/version ipi ya discovery ni...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Nyumba inauzwa: Mahali: Yombo Buza - karibu na kituo cha kanisani Umbali: Mita 100 kutoka barabarani Ilivyo: Vyumba 2 na master bedroom, kitchen, sebule na stoo Mengineyo: imepigwa bati...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina Brand New Router naiuza, ni 1841 model a.k.a 18 series unaweza nipigia kupitia 0173 52 78 02 mda wowote karibu!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JESHI la polisi mkoani hapa limelazimika kutumia mabomu ya machozi kwa ajili ya kumuokoa bibi Hadija Kabeya Saloom (70) aliyevamiwa na watu wapatao 50 wakitaka kumuua kwa tuhuma za uchawi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za hapa jukwaani wakuu, zinahitajika Camera mbili kubwa za digital ziwe either cannon au nikon mwenye nazo achangamke faster, mpya au used(in good condition)
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeipenda hii gari sababu kubwa ni cc 650, ni four wheel drive na Pia Ina Turbo. Jamani mwenye kuijua hii gari vizuri naomba anipe Update please! Please!! Natanguliza shukrani
0 Reactions
6 Replies
4K Views
MAGARI YANAUZWA KWA BEI NAFUU.WASILIANA NASI .YAMELIPIWA USHURU,IMPORTED FROM JAPAN. 1.Toyota Gaia year 2001 Petrol Price 8M 2.Lande cruiser Prado Pearl II...
0 Reactions
34 Replies
16K Views
EVAG Consulting Firm (T) Ltd is a Tanzania based company which is established and was registered on 12th October 2009 under the Tanzania company act 2002 with registration no 73210 and TIN no...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba za kupanga,za kununua,viwanja vyapatikana HAPA
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Magari kibao yanauzwa...kwa picha na maelezo mengine CLICK HERE
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepata maumivu baada ya kuisahau mahali kwa sekunde chache simu yangu ya Nokia 95, niliyokaa nayo kwa miaka minne na niliyoipenda sana hasa kutokana na camera yake ya 5.8 pixels, ikapata...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hofu ya kusakwa kwa viungo vya walemavu wa ngozi imeibuka upya baada ya watu wasiojulikana kudaiwa kufukua kaburi la mlemavu wa ngozi katika kitongoji cha Izengwabasumba katika kijiji cha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…