Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Hey wakuuu, Kuna mahali pa biashara panatolewa kwa mtu pakiwa na kila kitu, Computers 11 zikiwa zinafanya kazi na zina network na zina wasiliana, na kuna simu za ndani ina reception, General...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
The Mission to Seafarers Dar es Salaam Invite Tenders from Eligible Service Providers to bid for Running of Mission to Seafarers Restaurant at Kurasini Dar es Salaam for a period of one (1) year...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MIMI STANLEY MOSES NAKUTAFUTA WEWE DADA YANGU CHERU MKOMBO POPOTE ULIPO TANZANIA TULIACHANA NA WEWE ULIPOMALIZA KIDATO CHA NNE TABORA GIRLS 2004 HADI LEO NAKUTAFUTA UKO WAPI? JAMANI...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nyumba ya kununua inahitajika haraka kwa ajili ya kununuliwa. Iwe maeneo ya Kijitonyama au eneo la kinondoni. Kiwanja chake kiwe na Hati miliki(Tittle Deed), Bei isizidi 100mil. Na ikiwa kuna...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salamu WanaJF. Kuna MwanaJF mtarajiwa ambaye amepata uhamisho kutoka mikoani kuja jijini anatafuta Upande/Vyumba Vitatu ama nyumba nzima (kama bei sio maumivu sana!) maeneo ya kuanzia Kimara hadi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nimepata uhamisho wa kikazi from znz to dar ndo sababu ya kuiza gari, imelipiwa ushuru wa znz,bei hii inazingatia gharama za mnunuzi katika kulisafirisha frm znz to dar. kama atakaye nunua yuko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunasikitika kupokea kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini na mmoja wa waasisi wa CHADEMA Kanali (Mstaafu) Geofrey Marealle kilichotokea jana usiku. CHADEMA inatuma salamu za pole...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Hi wa JF, Gari hii imeboreshwa kwa wekewa injini ya Toyota Rav 4, 3s. Bei yake ni sh 11mil. 0717114409
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF naombeni msaada, Kwa yeyote anayemfahamu fundi rangi wa kupaka rangi nyumba, naomba anipe contact zake either hapa jukwaani au ani PM. Sifa za fundi huyo; Awe makini,mwenye...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
I have a 1989 Merecedes Benz model 200 Automatic 124 V boot South African made. White in color and still in good running condition I am interested in trading it in with a RAV 4. Otherwise I am...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja ni kikubwa sana na kinafaa kwa hotel na biashara zingine zinazohusiana na starehe au utalii Mnunuzi atanufaika na spill-over benefits kutoka kwa mahotel ya mwambao yanayozunguza kiwanja...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello wana JF! Nina nyumba ya kupangisha yenye description zifuatazo: > Nyumba ya kisasa kabisa ya ghorofa moja > Ina vyumba 3 vya kulala juu, na kimoja chini (vyumba vyote vina choo na bafu)...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Viwanja viwili vinauzwa. Vipo Buyuni. kila kimoja kina ukubwa wa sqm 780. Bei ya kila kimoja ni sh 5mil. Vyote vina hati miliki. Kwa mawasiliano. 0171 114409
0 Reactions
4 Replies
2K Views
2005 model 61541km the vehicle was bought about Few years ago from DT Dobies as brand new. Since it was bought it as been services By the same sale D.T. Dobies. Manual Transmission. Price 23mil
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Toyota Landcruiser Prado 1998Model LJ95 white Manual 3L 2800cc, Diesel Price 11mil. Negotiable 0717114409
0 Reactions
4 Replies
3K Views
salaam wakuu, nimeshushiwa mzigo mwingine tena wa radio za gari zinatoka ujerumani, ni mpya(siyo used), zinapiga Audio CD,CD-RW,MP3,USB,SD/MMC, 4 x 100 Watt Max. bei imepungua kidogo, 250,000...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Habari zenu wana JF, Mimi ni mmoja wa wanzilishi wa mtandao wa MZALENDO.NET, nitatoa takwimu za mtandao au project hiyo hapa tokea tufungue mtandao huo. Takwimu za maendeleo project...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu wote JF, saalam za heri: - za sikukuu ya Thanksgiving ambayo inafanyika kesho hasa huko USA, lakini wale wengi wetu tuliowahi kuishi huko na wengine wote tuungane kusherehekea siku hii...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Assalamu alaykum Nakutakieni Eid Mubarak wana ukumbi wote, Allah akupeni kheri pamoja na aaili zenu, na akutilieni barka na furaha katika majumba yenu... Vile vile Namuomba Allah Ajaalie ukumbi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yawezekana wewe ni mmoja wa waathirika wa ugonjwa wa ukimwi yawezekana una ndugu anaeumwa ugonjwa huu,...wapo wanaoamini mungu awezi kushindwa wapo wasioamini ama kwa uwoga ama imani haba....leo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom