Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Natafuta nyumba Magomeni au Ilala.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Miezi michache iliyo pita benki tajwa hapo juu wali introduce huduma ya SMS. Kila mara utoapo pesa au kuweka ulikuwa unapta sms sekunde hiyo except kama unatumia visa card tofauti na benk...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Kuna wadau wananitumia ujumbe unaosema hivi: Mkuu Invisible, nini kimetokea ITV? Mbona haipatikani hewani kabisa ghafla? Anyone with a clue?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarileo kama umeuona ujumbe wangu tafadhali tuwasiliane. Na kama kuna mwanafunzi ambae anasoma Ukraine naomba pia tuwasiliane. Email yangu ni chalu_pisces@yahoo.Com
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello people, Host your files and images for free on Pichaz.JamiiForums.com! Go ahead and upload any file you want up to 100 MB in size. After uploading a file you'll get codes which you can use...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Pengine post hii hapa si mahala pake.If so,inaweza kuhamishiwa kunakostahili.Kwa sie tulio mbali na nyumbani,machapisho ya magazeti yetu katika mtandao ndio tegemeo letu kubwa (of course,JF ni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wapendwa Wana JF, Watanzania na wote wenye Mapenzi mema na Nchi yetu. Nasukumwa kuwaomba kuwa Ijumaa hii tarehe 17 Oktoba 2008 tujitolee kufunga na kuiombea nchi yetu ya Tanzania. Wataoweza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu, Nakuombeni mnitumie picha za wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afr. Mashariki. Naomba zile zinazoonesha umati wa wastaafu hao, na zinazoonesha mmoja mmoja -- hasa wale wanaoonekana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ITV wanarusha tangazo moja matata sana,kwakweli limeni-impress sana.Ni tangazo ambalo ni extract kutoka kwenye hotuba mbalimbali za baba wa taifa mwalimu Julius Nyerere.Katika extract hiyo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Baada ya kutoka na habari motomoto wiki iliyopita (Safari za JK Utata) na nyingine nzito, nimeamka nikikutana na email kibao za watu wakiuliza "Raia Mwema iko wapi". Je kumekuwa na upungufu wa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
This is from eThinkTankTz From: S.L Sent: Wednesday, October 08, 2008 12:49 PM To: A.M Subject: FW: MLALAKUWA BRIDGE. Please read below and spread the word! Dear All, Yesterday...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tsup hommies; Nimeisoma hii shocking rumor post nikaona si vibaya nika-share na ndugu zangu wa JF. Here it is: Tanzanian singer TID is suggesting that he may have been sexually harassed in jail...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
1) MARKETING PERSONNEL WANTED Marketing Executive wanted.Should have an advance diploma,degree or masters.Should be experienced and trustworthy. Send your CV at atl2@cats-net.com CALL...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawasalimu wanamichakato, tafadhali kama kuna watanzania wanaoishi Providence, Rhode Island ningefurahi kufahamu kwani mimi naishi katika hii city. Nawatakia Pilika njema za wiki, I will be...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tuna habari kuwa mzee Mfinanga wa Dar-es-Salaam amefariki dunia. Ni baba mzazi wa Ayub, Mtanzania mwenzetu wa hapa Detroit pamoja na ndugu zake West Coast na wengine hapa.London na sehemu...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Namuombea mke wa Rais mama Salma Kikwete ambaye yuko nje ya nchi (jina na hospitali vimehifadhiwa hadi serikali wakiamua kuwaambia!) kwa matibabu apone hima na kurudi nyumbani salama. Tunakutakia...
0 Reactions
75 Replies
13K Views
Je una nyumba Dar ambayo ni fully furnished yenye at least two bedrooms na hutakuwa ukiitumia katika mwezi wa october? Isiwe mbali sana na town centre na iwe na car park. Inahitajika kwa ajili ya...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Toleo la kwenye mtandao la Tanzania la Siku ya Jumapili lilikuwepo hewani kwa muda lakini baadaye leo baada ya kuingia la Jumatatu la Jumapili limetoweka. Sasa hivi ukiendana kurudi nyuma kutoka...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tangu Bwana Mongi atangaze kwamba amelipwa na Bwana Saed Kubenea gharama za ku-host gazeti la MwanaHALISI, hakuna update iliyofanyika mpaka hivi sasa. Nina ombi kwa Bwana Saed wa Kubenea kwamba...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Baaada ykupata PM kibao toka kwa wanaJF wanaotaka kujua kuhusu Taratibu za kuingia UK nimeona bora niweke wazi kila mtu ajue process inakuwaje 1. I'm in the UK on a 5yr WP and recently got...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom