Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Tatizo la MALARIA ni sugu sana kwetu lakini cha ajabu ni huy kijana ndio ameleta mwamko katika ulimwengu na sisi bado tunapiga gumzo vijiweni wasomi wetu mko wapi Web guru targets malaria with...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeipata habari hii toka kwa Michuzi kuwa Kipenzi cha wengi Mama yetu Maua daftari kafiwa na Mumewe!.. Inna Laah wainali Laah Rajiun!
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Asalaam alykum, Ndugu zangu, kwa huzuni nawapa taarifa kuwa ndugu yetu,kaka yetu na mwenzetu Omari Lambi alifariki jana hapa London katika hospitali ya university College Hospital -Euston kutona...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Tumejaribu kuwaletea burudani kwenye KLHN. Burudika na vibao vya kwetu hadi uchoke. Huwezi kudownload though ni burudani ya masikio yako tu. Kwenye ukurasa wa mbele chini ya "Google search"...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi, bandugu! Nimeona kuna watu humu wanaulizia computer. Kuna laptops 2 zinauzwa kwa TShs 600,000 each. Ni refurbished Toshiba, pentium 4 laptops kutoka US. Hard disk: 40GB; RAM: 500MB...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello members, Nahitaji Desktop computer yenye specs nzuri. Nimepata Quote moja lakini napenda kuwa na hakika kuwa sijapigwa changa la macho. Quote yenyewe hii hapa chini: "Hi the dell PC...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
  • Closed
Ndugu wana JF kijana wetu , mdogo wetu , Mbunge wetu ndugu Zitto yuko US na anapatikana kwa namba hii +12026646388
0 Reactions
36 Replies
7K Views
  • Closed
Wakuu, Imebidi nitafute internet kukanusha taarifa ya kukamatwa kwangu. Bahati mbaya nimekuta ile thread husika imeshafungwa na imebidi nianzishe mpya. Ni hivi, sijahojiwa, sijakamatwa wala...
1 Reactions
52 Replies
10K Views
  • Closed
Kwa sababu ya kuuliza swali la EPA nimepata taarifa usiku wa manane sijui whats going on lakini nipeni couple of hours unless mwenyewe aje humu ndani kutupa updates
1 Reactions
26 Replies
9K Views
ASSALAM ALYKUM WARAHMATU-LLAHI WABARAKATU. Jamani tulikuwa tunatangaza kifo cha ndugu yetu SAIDA SAID GHARIB au jina la hapa la kisomali ni AISHA SAID GHARIB aliefariki hapa uingereza kwa hio...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
  • Closed
Jamani nikiwa UK nataka kujua Card gani ya kupiga Bongo nzuri kuliko zote? Ipi inakupa minutes nyingi na haiibi kwa sana. Talk home used to be good ila sasa wameniboa. Nipeni mawazo yenu mlioko UK.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
It is with sorrow and regrets that I inform you about the passing of Mrs Suma Mwankenja Ngonyani who died in the early hours of Monday March 24, 2008 in Lansing Michigan. The late Suma was...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Siku ya Jumapili tutakuwa na matangazo live kujadili yale yatakayokuwa yamejiri kutoka Butiama. Tuna vijana wetu kadhaa ambao wanatarajiwa kuwasili mapema Jumamosi asubuhi kuweza kuanza...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Tutawaletea taarifa ya habari toka TBC saa sita kamili EST sawa na saa mbili za usiku.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kuna misa ya kesha la Pasaka click listen live www.radiomariatanzania.co.tz
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ingia kwenye http://www.ubroadcast.com Download player kwenye sehemu inasema "Listen" Ikishadownload, andikisha na uifungue (vyote bure) Kwenye mahali pa kujaza namba ya station ingiza namba...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…