Simu iwe katika good condition.isiwe na shida yoyote....narudia tena isiwe na shidaa teyote....kuna 120000 hapa...isiwe tecno
Kama huna soma kimya kimya na upite pembeni..
Bajeti ni 120k...
Tunauza viwanja vilivyopimwa Vikindu kwa bei rahisi.
Eneo: Marogoro, ukubwa futi 60*60 bei 900000.
Eneo: Magodani ukubwa futi 60*60 bei 1300000
Usafiri tunatoa bure hadi kwenye viwanja kwenda...
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Bunju kinondo
Mradi huu una huduma zote ikiwemo shule, maji na umeme. Pia hospitali ya wilaya
Kwenda kuona ni Bure Kila siku tupigie 0620175964
Welcome mpendwa mteja
Aah @canvas_tanzania_sale inapenda kuwatangazia bidhaa zetu za design za picha za ukutani zenye mapambo mbali mbali au picha za familia (CANVAS PHOTOS)
TUNA YA,
Full...
Nyumba ya ghorofa inauzwa. Ipo Kigamboni sehemu moja inaitwa DEGE,.. ni kama 20 km's kutoka Ferry. Documents zote zipo(Hati). Ghorofa lina vyumba sita vya kulala vyote ni self contained na sitting...
Kutokana na wingi wa uhitaji na kuifany jamii iweze kuacha kwa haraka matumizi yote ya mifuko ya plastic. Tumetoa offer ya Tsh.75,000 kwa caton Ambayo ina PC 1000 kwa Aina zote hapo juu Karibu...
Hii ni kwa wale walioko Arusha Mjini, na taa za magari yao zina ukungu au zimepauka.
Tunang'arisha taa hizo kwa kutumia kifaa maalum na kuzirudishia mng'ao wake kwa gharama nafuu kabisa.
Tupigie...
Tunauza mashine ya kutengeneza chakula cha mifugo cha chenga chenga (pellet mashine). mifugo kama (Kuku/samaki&sungura)
✓Inatuma umeme wa majumbani.
✓Inauwezo wa kuzalisha kilo 150 Kwa lisaa
✓Hp...
Nahitaji kuwasiliana na kampuni zilizo sajiliwa na zenye ofisi Tanzania, ambazo zina uwezo na uzoefu wa kuagiza electrical, mechanical na instrumentation equipment and parts. Kampuni iwe na...
Wana bodi habari, kama mjuavyo tuko mbioni kuelekea ktk mavuno ya nafaka mbalimbali, mwaka jana nilijaribu kuhifadhi mahindi ktk viroba vya kunga njaa! ilikua ni viroba viwili tu kwa ajili ya...
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Pangani
Vipo jirani na machinjio ya soko la Loliondo
Maji na umeme upo na kwenda kuona ni Bure Kila siku
Tupigie 0620175964
Nawasalimu nyote.
Kama mada inajielezea, naombeni wanajamvi mnisaidie sehemu ya kupata mashine ya kukata mabox na box boards kwa ajili ya keki.
Nipo Mkoa wa Geita takriban mwaka na zaidi sasa...
Habari wana JF
Mimi ni mjasiliamali kwa ujumla ninaemiliki kitalu cha GYPSUM POWDER NA GYPSUM STONES maeneo ya Bendera Mkomazi karibu Bwiko Barabara ya kutoka Dar.
Gypsum powder yetu ni sulphate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.