Karibu Africa Rise Up, upate design ya uhakika ya bidhaa yako kutoka kwa professional designers wetu.
Tunapatikana Mianzini Mataa.
Bei:35000/=
Tupigie namba: 0788 429 756...
1997 Land rover discovery inauzwa
Transmission: Manual
Fuel: Diesel
Other: CC 4000 TDI
Vitu vyote kwenye gari ni vizima kasoro engine tu ndo ambayo inahitaji replacement
Bei ya engine mpya ni...
Mbao zenye dawa treated zisizoliwa na wadudu zinapatikana kwetu kwa bei za jumla na reja reja.
Tunatoa ofa za Misumari ya Bure 10kg na Ofa ya Usafiri wa kukupelekea mzigo sait Bure!
Tunapatikana...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nauza kiwanja cha heka 6 kilichopo kata ya Kiromo wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.
Baada ya kufanya tathimini ya muda na kuweza kuangalia thamani...
Nb; bei iliyopo kwenye tangazo ni bei elekezi.
Pia tunafundisha programming language za web app na Android.
PHP, PYTHON, JS, JAVA, KOTLIN.
LARAVEL, FLASK, REACR.
Kwa bei za mafunzo...
This training is intended to Equip participants with necessary skills for preparing Financial Statements using Microsoft Excel techniques... Meet the experts in the field of Accountancy...
Call...
Kwa mahitaji ya bata na vifaranga vya
bata bukin
Mallard
Jumbo perkin
Khaki Campbell
Indian runner
Ruen
Wanapatikana CHANIKA KWA SINGA, ILALA
DAR ES SALAM
Call: 0746 696878
Instagram: ILUNDA...
Zamani walikuwa Mandela road. Nw wamehama. Anaefahamu walipoamia anisaidie plz. Maana nimejaribu ku-Google, sijawapata.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Chumba kimoja cha kulala ambacho ni master,jiko, ukumbi. Na ndan Kuna Min supermarket inajengwa . zipo nyumba Tisa sehem moja. Mazingira mazur, zinajitegemea maji na umeme. Kodi ni 200,000/= Kwa...
Habari za asubuhi wadau, nimeshikwa na shida nauza kiwanja changu kilichopo Mwanzo mgumu chanika.
Ukubwa hekari moja
Bei 2.5m maongezi yapo
Mawasiliano piga simu 0718658747
Namtafuta supplier wa samaki aina ya sangara na sato kutoka Mwanza, nahitaji kufahamu mambo haya kutoka kwake
1. Bei ya kilo moja kwa sato na sangara kwa jumla samaki wakiwa mwanza ili na mimi...
SMAI, is the one among of the leading e-logistic and e-commerce company based in Dar es Salaam offering a door to door delivery in Dar es salaam and upcounties (regions).
we have branches in the...
Habari Jf.
nauza hizi pavement blocks kwa Bei ya Hasara.
viko 500.
vinapatikana vikindu senta.
Nilinunua 25,000 kila kimoja nikatumia vikabaki 500.
vilivyobaki nauza 17,000 kila kimoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.