Dulaiki Group, kupitia kitengo chetu Cha ujenzi. Ni wataalamu wa ujenzi wa majengo tulio na ujuzi na ubora wa Hali ya juu.
Sisi;-
✓Ni wataalamu wa Uchoraji wa ramani za majengo,
✓Ni wataalamu...
Nyumba pamoja na kiwanja vnauzwa Kimara Baruti. Ukubwa wake ni 35 kwa 30. Bei yake ni 50m maongezi pia yapo. Kwa mawasiliano zaidi piga 0687968594/0714140094
Habari mwenye gari tajwa hapo naomba anichek 0678265683. Sitaki Dalali maana wamekuwa na ubabaishaji unaenda kukuagua gari Kigambon mara gari haipo ipo Sinza mara gari ipo Mwenge. So kama ni...
Habari ndugu, jamaa na marafiki..
Naitwa Enock, napatikana Mbezi ya Kimara, Dar Es Salaam, Tanzania..
Mimi ni fundi wakutengeneza na kukarabati sofa pamoja na samani nyinginezo za majumbani kama...
Nauza Mchele Mzuri umenyooka na mtamu haswa, Wale wanaoujua wakyela wenyewe mtanielewa. Bei ni 1,700/= kwa kg 1.
Tunakufikishia hadi mlangoni pako kwa walio nje ya mji tu ndo wanachangia usafiri...
Habarini wapendwa,
Naomba ushahuri kuusiana na biashara ya samaki wa kukaanga kwa anaefaham anipe ushauri naitaji kuianza hii biashara nimepata meza maeneo fulani hivi Sasa nilikua nataka niweke...
Habarini wakuu!
Naleta kwenu habari njema kabisa, kuna kiwanja/viwanja vinauzwa maeneo ya Nyasaka-Mwanza karibu na TABASAMU ENGLISH MEDIUM au ISTQAAMA ISLAMIC SCHOOL. Kiwanja ni kikubwa sana kina...
Baada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima.
Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate...
Ubepari_pc tunajihusisha na uuzahi wa pc na vifaa vyake kwa bei nafua ,tuna bidhaa mpya ,refurb na used za pc tunapatikana upanga -muhimbili pia tunafanya delivery mikoani
request pc yoyite nasi...
Karibuni Sana Chawging investment Kwa huduma za fumigation.
Tunapuliza dawa za viuatilifu kutokomeza wadudu hatarishi warukao na watambaao Kama mbu, mende, mijusi, mchwa, kunguni, viroboto...
Kuelekea pasaka Pata mchele safi kutoka mbeya wenye viwango vya Ubora, Weka order yako sasa tukufanyie delivery
Mchele safi kuanzia 1500 mpaka 2000 kwa kilo
Piga 0715169679
Wasalamu.
Nipo mkoa jilani na Dar huku kuna fursa ya upatikanaji wa maziwa kwa wingi. Nahitaji mtu mwaminifu ambaye naweza fanya naye kazi walau aweze kuchukua litre 200 kwa kuanzia per day.
Wadau jf habari za humu ndani kuna eneo kigamboni linauzwa gezaulole lina ukubwa was heka 600 kwa wawekezaji au watu makampuni ya kupima viwanja na kuuza fursa hii au makumpuni makubwa kuweka kiwanda
Naomba kuwajulisha kuwa Nauza nyumba Ipo Kiharaka ukipita daraja la Bunju unapinda kulia ilipo kambi ya jeshi sasa kabla ya kufika Nyumba ipo hapo Serikali za mitaa.
Ukubwa wa Nyumba ina vyumba 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.