Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari Wana jukwaa Natafuta kiwanja BAJETI 2.5M, maeneo ya kibugumo Kigamboni,
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mahali: Mbezibech Shule Bei: Tshs 250,000 Kwa Mwezi Nyumba ina vyumba viwili, choo cha public ndani, na Sebule. Haina jiko ila ina kibalaza unaweza kutumia kupika. Maji ya dawasa yapo, parking...
0 Reactions
1 Replies
745 Views
Chumba na Sebule, Choo cha nje. Mahali: Mbezibeach Kwakomba. Bei: Tshs 100,000 kwa Mwezi. Ina: Fensi ns geti, Maji ya dawasa masaa 24, Parking ya Usafiri, Dakika nne kwa mguu hadi kituoni...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Vijana mliopo mitaani na wale ambao mmemaliza vyuo vikuu lakini bado hamna kitu cha kufanya tunawakaribisha katika mafunzo ya ufundi pikipiki kwa mda wa miezi miwili ada ni laki mbili... Elimu ya...
3 Reactions
6 Replies
6K Views
Hii hapa, Chumba choo ndani, Sebule pamoja na jiko. Ina Fensi, Maji ya dawasa, parking. Bei Tshs 200,000 Kwa Mwezi Piga: 0716442950
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Dell Alienware Alienware 15 R3 [emoji89] PROCESSOR / CHIPSET CPU: Intel Core i7 (7th Gen) 7700HQ / 2.8 GHz Max Turbo Speed: 3.8GHz Number of Cores: Quad-Core 64-bit Computing: Yes Features: Intel...
1 Reactions
4 Replies
896 Views
Viwanja vipo Dar es Salaam Kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha Kigamboni College of Health and Allied Science, mita 35*35 Bei Mil 5.5 Karibuni sana
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema nipo tayari kulipa 10,000 kwa siku na biashara yangu ikichanganya tunaweza kuongeza dau. Machine iwe kwenye hali nzuri inayotumia umeme wa nyumbani. 0624792393
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki. Huu ni wakati sahihi wa kumiliki kiwanja chako kwa bei nafuu pia ulipaji wake ni wa awamu yaani kidogo kidogo. Viwanja vipo karibu na barabarani na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
INAPANGISHWA NYUMBA Nyumba ya Vyumba 3 (1Self), pamoja na Sebule, jiko na Choo cha Kuchangia. Nyumba ipo yenye kwenye uzio. Mahali: Mbezibeach Samaki, nyuma ya shamo tower. Upande wa Kulia kama...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
APPLE ARTISTS GROUP[emoji327] Inawatangazia kwa wasanii ambao wanapenda kufanya sanaa ya uhigizaji na wasio wasanii ambao wao nao wanapenda kuigiza Tunaitaji wasanii watakaopenda kujiunga na sisi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nakaribisha wateja Wa kutoka mikoani ,kuwa nauza karanga kwa bei ya jumla kabixa kutoka Urambo tabora,kwa Mteja Wa dar tunamfikishia mzigo ndio anatoa hela,au akipenda analipa kabixa,mikoa mingine...
0 Reactions
18 Replies
44K Views
Habari wakuu Ninauza Mashine nzuri simple ya kuua Mbuu Namna ya kutumia mashine hii Utaitumia wakati wa usiku unaingia chumbani kwako unazima taa funga mapazia chumba kiwe na Giza Chomeka hiki...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
We BASAP AFRICA COMPANY,office at kinondoni,morocco, near dawasco kinondoni office,with international proffessionals for all -needs of installation of cctv and beem securities. -all it...
0 Reactions
1 Replies
458 Views
Nauza vitabu vya Lugha zifuatazo 1. Spanish 2. Chinese 中文/普通话 3. Korean 한국어 4. Japanese 5. Russian 6. Kijerumani Pia na dictionary za hizo lugha zote. Pia kama kuna kitabu chochote ambacho...
2 Reactions
1 Replies
710 Views
Njoo sasa tukuagizie simu aina ya IPHONE, SAMSUNG, HUAWEI, GOOGLEPIXEL, XIAOMI, ONEPLUS pamoja na simu za batani kama vile NOKIA EXPRESS MUSIC n.k Kuanzia iPhone 6 hadi iPhone X utajipatia...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
all cars European/Bmw/Audi/Range/ chinese/Fotin Japanese/Toyota/Nissan American/jeep if you have seen checkengine popup,ABS light or you want to do Oil reset after normal services check us now...
0 Reactions
4 Replies
894 Views
Habari ya leo wakuu, Mimi ni mjasiriamali nnaye jihusisha na usafi nimejikita zaidi katika uchafu sugu ulio shindikana mfano kung'arisha masink yaliyo na uchafu sugu,Tiles zilizo na uchafu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna madish fulani makubwa ya silver sana niliona yanatumika Zanzibar. Naweza kuyapata hapa DSM ? Bei yake ikoje?
1 Reactions
3 Replies
806 Views
Jiko la gesi LA kukaangia chipsi linauzwa kwa 70000 tu. Lina regulator ya high pressure na pipe yake ya mita tatu. Limetumika mwezi mmoja tu. Lipo mbezi beach-salasala. Atakaehitaji anicheki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom